Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 303
- 1,158
Simba imeshuka uwanja wa ndege ikiwa na mchezaji Triple C ambaye ilidaiwa kuwa na ugomvi na kocha wake Pablo, hata hivyo cha ajabu na cha kushangaza Chama alikuwa ameficha uso asionekane, lakini mitembeo yake iliwafanya watu wambaini mapema, sijajua alikuwa anajificha kwa lengo lipi.
Simba wamebainj gemu na yanga nusu fainali ngumu sana, inabidi Chama awepo tu, na kuna uwezekano hata Morrison akapelekwa huko.
Simba wamebainj gemu na yanga nusu fainali ngumu sana, inabidi Chama awepo tu, na kuna uwezekano hata Morrison akapelekwa huko.