Cjui kama nitatoka

Punisher

New Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
2
Reaction score
0
Please welcome me brothers and my fellows tulisongeshe taifa letu
 
Your are warmly welcome........ila kumbuka jogoo la shamba haliwiki mjini..huku ni GT
 
Kama nia yako ni kutoka, nahofia kuwa uko sehemu ambayo si sahihi!~
Hta hivyo karibu sana, najua kuku mgeni ndioo hivo tena~
 
karibu mkubwa, Pakajimmy mpe kabrasha!
 
Karibu sana jamvini, humu hutatoka maana ukiingia unakuwa mlevi!
 
Please welcome me brothers and my fellows tulisongeshe taifa letu

...................Punisher kwani umejuaje kuwa umeingia? yawezekana bado upo njee kama unafurahia ngoja ukaribishwe ndani......................pole pole lakini.........................................Karibu sana,ila kuwa makini:hatari: lakini salama..kaaaaazi kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…