Civil War Diaspora USA

Civil War Diaspora USA

Hao wanafanya kampeni za uongozi wa jumia ya washington DC haina uhusiano wowote na diaspora!. Naona kila kitu kikitokea kidogo kwa jumuia yeyeote duniani kuna wanaofanya kama ni tatizo la dispora. Jumuia ya DC ni asilimia ngapi ya dispora?
 
Mimi ni mgeni hapa maryland..nlijua nkija hapa ntakuta watanzania mambo ya bongo wameacha bongo..lkn naona dah bado watu wana mambo ya mchoro mchoro, kupeana kashfa nk..jakyanani wabongo tumelaaniwa maana hatinadiliki hata tuwe wapi..huwezi amini DMV ina mambo ya uccm na uchadema..nk
 
Mimi ni mgeni hapa maryland..nlijua nkija hapa ntakuta watanzania mambo ya bongo wameacha bongo..lkn naona dah bado watu wana mambo ya mchoro mchoro, kupeana kashfa nk..jakyanani wabongo tumelaaniwa maana hatinadiliki hata tuwe wapi..huwezi amini DMV ina mambo ya uccm na uchadema..nk

Hiyo ni jumuia yenu ya kiswahili hapo DC hamna la kufanya hapo jumuia nyingine US haziko hivo
 
Jamani nyinyi mnatofauti gani na madada wa saluni za kimbea mbea mmesoma.mpo ughaibuni lakini mambo yenu yanatia aibu.
 
Lakini wabongo popote pale walipo ndivyo walivyo, yaani wanapenda sana umbea haswa wanaume. Mademu kazi yao kuchukuliana wanaume na kugawa uroda kwa $20 kwa Nigerians. I saw this last year nilipokuwa Dallas na Atlanta.
 
Hiyo ni jumuia yenu ya kiswahili hapo DC hamna la kufanya hapo jumuia nyingine US haziko hivo
Sio hapa tu watanzania tuna matitizo sugu...ambayo inabidi kuyafuta hasa ss tulioko huku...hata hichi unachojaribu kuexpress hapa ni mojawapo ya matatizo yetu...kukimbia wajbu na kusukumia wengine..wewe upo wapi us ambayo wabongo hawana mambo ya ajabu ajabu..!? Tubadilike..!!
 
Yule jamaa anayejiita sijui "Libe" ndiyo tatizo. The dude is so petty and full of shit. Anatia kichefu chefu. Mpuuzi mkubwa na kubwa jinga!
 
Watanzani ambao ni wa maneno maneno watakuwapo popote lakini naona mwandishi anaongea kama vile ni swala la ajabu!. Kama wewe ni mtanzania na hupendi hayo mambo hayakufuati ni kwa wale ambao ni washabiki na wanapenda mambo kama hayo. Mimi na miaka kumi na tano na nimekaa Dallas na Houston sijawahi kuhusika au kuhusishwa na umbea wa aina yeyote. Kuna Watanzania wengi sana kama mimi ambao hawana muda wa kuongeana, ushabiki wala malumbano!. Haya mambo ya kiswahili washabiki tu ndiyo wanayafurahia na wengi wao ni malezi. Inabidi ujipime marafiki na watu wanaokuzunguka kama unaona haya mambo yapo inawezekana wewe mwenyewe ndiyo tatizo tusi seme jamii nzima wakati kuna watanzania wengi hawako hivyo
 
Hiyo ni jumuia yenu ya kiswahili hapo DC hamna la kufanya hapo jumuia nyingine US haziko hivo

Kuna MTU anaitwa liberatus mwangombe ni mgombea urais DMV kwao ni pale chimala mbeya ni mshenz sana muhuni anajifanya anataka changes analeta mambo ya politiks uchwara
 
Yule jamaa anayejiita sijui "Libe" ndiyo tatizo. The dude is so petty and full of shit. Anatia kichefu chefu. Mpuuzi mkubwa na kubwa jinga!

Kaka huyo n mshenz sana kwao chimala pale mbeya..anajfanya anatoa mipira kimeo mashulen...Mara oooh nimetoa kipimo cha x ray hospital watu kuchunguza kipimo chenyew kimeo nacho..anataka kudanganya with...


Nahis kalithi tabia ya mzee wake..miaka ya nyuma mzee wake alikuwa mweny kit wa kijiji..shirika la kajima lilitoa option wajengewe stadium au guest yeye alichagua guest ya kufanyia uzinzi
 
Kama kuna civil war basi ni hao wa DC
 
Tatizo letu watanzania ni kuwa hatupendani

we are really sh!t when it comes to loving one another

Tukija kwenye hizi campaigns, i think shida sio w agombea, shida ni wapambe... wabongo DMV wamepata bahati mbaya ya kuwa na a few "hate addicts" na dnio wanaovuruga mambo

the haters are angry, hungry and defeated na maisha and hating is their only remedy

wagombea sio haters kama walivyo wapambe
 
Typical mentality ya majority of Africans, yani sisi kufanya mambo kiustaarabu hakuna kabisa, yani watu ni kuzushiana mambo daily.
 
Wabongo wote waliopo Dc Maryland ni wanafiki kiama ukilinganisha na Wa Newyork


Sent from Kyela Mbeya
 
Mimi ni mgeni hapa maryland..nlijua nkija hapa ntakuta watanzania mambo ya bongo wameacha bongo..lkn naona dah bado watu wana mambo ya mchoro mchoro, kupeana kashfa nk..jakyanani wabongo tumelaaniwa maana hatinadiliki hata tuwe wapi..huwezi amini DMV ina mambo ya uccm na uchadema..nk

Bila siasa hakuna maisha,ila tu sema hiyo siasa inafanyikaje na muda gani na mahali gani.
 
Back
Top Bottom