Civil Engineering Vs Mechanical Engineering

samuel faraj

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
1,326
Reaction score
1,266
Wakuu habarini za asubuhi samahani kuna mdogo wangu kachaguliwa course mbili civil engineering na mechanical engineering ipi course nzuri Kati ya hizo tu confirm moja

Wazoefu ushauri wenu unahitajika


Nb:Utani na mizaha haihitajiki kwenye uzi huu
 
Kachaguliwa chuo gani tuanzie hapo
 
Kachaguliwa
Mechanical engineering -Udsm
Civil Engineering -dit na Ardhi
 
Anayesema soko la mechanical ni bovu aniletee mtu aliyesoma mechanical ana miaka miwili hana kazi toka amalize
 
Anayesema soko la mechanical ni bovu aniletee mtu aliyesoma mechanical ana miaka miwili hana kazi toka amalize
Vipi mkuu imekaa Poa mechanical engineering?
Ujuzi zaidi mkuu kidogo
 
Kachaguliwa
Mechanical engineering -Udsm
Civil Engineering -dit na Ardhi
Kwanza ningemshauri civil... Alafu lazima ajue kuna tofauti kati ya civil ya udsm na civil ya dit...

Ardhi wanatoa bachelor of science in civil engineering na dit wanatoa bachelor of engineering in civil engineering...

Kama unavyoona ziko tofauti...

Kama majina yalivyo civil ya ardhi..asilimia 40 ya mafunzo ni prac na 60 ni theory

Ya dit asilimia 60 ni prac na 40 ni theory..

Sasa kazi kwake...

Ila mwisho wa siku wote wakimaliza wataitwa mainjiania...
 
Ahsante kwa ushauri wako kaka be blessed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…