Kazi nimeimaliza,Nazani kuaznia leo jumanne mchana,Website(Forum) itakuwa hewani baada ya Alpha Test,Kwa sasa hii forum itakuwa ni source a kila information unayoitaka.Humo utakutana na mageek wa IT toka pande zote za dunia hii.
Tuliahidi na sas Tumetekeleza.