ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,699
- 2,265
Wadau naomba msaada.Nina chalii wangu nataka kumtahiri.je ni wapi kuna huduma iyo bila maumivu makali?nipo morogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kutahiri bila maumivu ni operation za kike hizo. kutahiri ni tukio la mvulana kuwa mwanaume kamili maumivu na mafunzo juu ya yeye kuwa jasiri, kusimama kama baba, mwanaume nk hufundishwa. usitengeneze jitu la kuogopa ogopa lije kutatuliwa marinda, apigwe kisu bila ganzi kama sisi tulivyofanyiwa.Wadau naomba msaada.Nina chalii wangu nataka kumtahiri.je ni wapi kuna huduma iyo bila maumivu makali?nipo morogoro
Acha ujima Mkuu.wazungu hawakukosea waliposema mila zetu ni za kipumbavu.si kwenu ndo kwa kina musiba na waitara??\kutahiri bila maumivu ni operation za kike hizo. kutahiri ni tukio la mvulana kuwa mwanaume kamili maumivu na mafunzo juu ya yeye kuwa jasiri, kusimama kama baba, mwanaume nk hufundishwa. usitengeneze jitu la kuogopa ogopa lije kutatuliwa marinda, apigwe kisu bila ganzi kama sisi tulivyofanyiwa.
mwambie aume meno kisu kinapita biashara inaisha dudu inakuwa nzito ya kiume tayari kwa kazi za kibaharia. kama una swali uliza
ww ndo mjima kabisa mwanaume unaogopa kisu kuondoa govii ? unataka upakwe mafuta ?? nenda kaondoe govi hilo acha kulia lia hapa, kutahiri gani huko bila maumivu ?Acha ujima Mkuu.wazungu hawakukosea waliposema mila zetu ni za kipumbavu.si kwenu ndo kwa kina musiba na waitara??\
ww ndo mjima kabisa mwanaume unaogopa kisu kuondoa govii ? unataka upakwe mafuta ?? nenda kaondoe govi hilo acha kulia lia hapa, kutahiri gani huko bila maumivu ?
Morogoro wapiWadau naomba msaada.Nina chalii wangu nataka kumtahiri.je ni wapi kuna huduma iyo bila maumivu makali?nipo morogoro
Shkamoo bahariakutahiri bila maumivu ni operation za kike hizo. kutahiri ni tukio la mvulana kuwa mwanaume kamili maumivu na mafunzo juu ya yeye kuwa jasiri, kusimama kama baba, mwanaume nk hufundishwa. usitengeneze jitu la kuogopa ogopa lije kutatuliwa marinda, apigwe kisu bila ganzi kama sisi tulivyofanyiwa.
mwambie aume meno kisu kinapita biashara inaisha dudu inakuwa nzito ya kiume tayari kwa kazi za kibaharia. kama una swali uliza
Nimekuheshimu kwa sababu ulofa ulionao ni wa kiwango cha PhD.ww ndo mjima kabisa mwanaume unaogopa kisu kuondoa govii ? unataka upakwe mafuta ?? nenda kaondoe govi hilo acha kulia lia hapa, kutahiri gani huko bila maumivu ?
Umeanza lini ujinga??soma ukaelewa.usikimbilie kucomment wakati hujaielewa threadmkubwa ivyo unaogopa kutahiriwa?
Jibu swali.Moro kilabuni.haya lete jibu,nimpeleke uko.Morogoro wapi
manispaa?
wilaya?
mkoani?
msamvu au wapi ?
mjifunze kutoa maelekezo
karibu mkuu ila nakwambia govi ni kisu tu hizo zako siasa chafu tena maji taka.Nimekuheshimu kwa sababu ulofa ulionao ni wa kiwango cha PhD.
marhabaaa karibu boss, mtu anaogopa kutoa ngozi ya dushe tu mpaka atafute sehemu yenye ganzi ?? kizazi dhaifu sana. watu tumeuma meno kisu kikapita mambo yakaisha.Shkamoo baharia
sasa dudu ipigwe ganzi ya nn ? asikilizia maumivu ili akipona kitu akidindisha kinanesa nesa full nguvumwenzio muoga usimfanyie hivyo
sasa dudu ipigwe ganzi ya nn ? asikilizia maumivu ili akipona kitu akidindisha kinanesa nesa full nguvu
Nenda kwanza MirembeJibu
Jibu swali.Moro kilabuni.haya lete jibu,nimpeleke uko.
aiseee ww umenielewahawezi kukuelewa ndomana mapunga wengi sikuizi