Nilimuuliza akasema kajaribu za aina mbalimbali lakini hakupata ahueni. Nikamwambia ajaribu za pamba akaniambia hata za pure cotton kwake hazisaidii kitu
Duuuuh hayo nayo mateso
Toka akiwa mdogo? Ndo maana shule ikamshinda akapata kazi sawia ya usteji show. Hongera zake.
Kwa hiyo na wewe unaanza????!!!!
Mombasa Kenya au mombasa banana?