lazima kuanza na salaam HABARI ZA UZIMA MWANA JF
Leo naomba kujua haya ni mapungufu au ni ugonjwa ? natiba Yake ni nn
kiukweli mm ninapo ziona hizi Nguo za wanawake ambazo ni chupi huwa uume wangu unasimama sana iwe dukani au imeanikwa wakati mwingine mpaka tumbo lina anza kuuma sielewi tatizo hili linasababishwa na nn plz msaada wako