Chuo Kikuu cha Iringa rudisheni 'caution money' za wanafunzi

dazzle3

Member
Feb 20, 2017
8
3
Ni takribani miezi mitatu tangu wanafunzi wafanye mahafali lakini hadi leo fedha zao za tahadhari au CAUTION money hamjarudisha. Mliwagomea wanafunzi wenzetu kufanya mitihani na wengine kudefend paper zao kisa hawajamaliza ada na michango mingine hadi wakaahirisha mwaka lakini ninyi mmekaa na pesa zetu muda wote huo na hatuoni dalili za kuzirudisha. Huu ni utapeli mnaotaka kutuletea na utawagharimu.

Tunatoa wiki 3 muwe mmerudisha pesa zetu zote vinginevyo hatua stahiki za kudai haki yetu zitafuata. Na hatua hizo itakuwa ni pamoja na kulipa riba ya kukaa na pesa zetu muda wote huo. 50,000 kwa kila mwanafunzi si pesa kidogo. Kama nyie mliweza kuwagomea wanafunzi wanaodaiwa student activities sh 18000 basi na sisi tunataka iliyo haki yetu.

Cc Mkuu wa Chuo
DVCAA
Dean
Wanafunzi wote waliomaliza 2016
 
Ni takribani miezi mitatu tangu wanafunzi wafanye mahafali lakini hadi leo fedha zao za tahadhari au CAUTION money hamjarudisha. Mliwagomea wanafunzi wenzetu kufanya mitihani na wengine kudefend paper zao kisa hawajamaliza ada na michango mingine hadi wakaahirisha mwaka lakini ninyi mmekaa na pesa zetu muda wote huo na hatuoni dalili za kuzirudisha. Huu ni utapeli mnaotaka kutuletea na utawagharimu.

Tunatoa wiki 3 muwe mmerudisha pesa zetu zote vinginevyo hatua stahiki za kudai haki yetu zitafuata. Na hatua hizo itakuwa ni pamoja na kulipa riba ya kukaa na pesa zetu muda wote huo. 50,000 kwa kila mwanafunzi si pesa kidogo. Kama nyie mliweza kuwagomea wanafunzi wanaodaiwa student activities sh 18000 basi na sisi tunataka iliyo haki yetu.

Cc Mkuu wa Chuo
DVCAA
Dean
Wanafunzi wote waliomaliza 2016
mnatoa wiki 3 na nani
 
Hili suala mshalipeleka sehemu husika?

Ni wajibu wao mbona wao wanazuia wanafunzi kufanya mitihani hata kama una kadeni kadogo tu? Suala la kurudisha pesa wanalijua ila wanajifanya hamnazo. Hii ni wake up call. 3 weeks then utasikia mziki
 
Back
Top Bottom