Chuo Kikuu cha Dodoma ni cha nani?

Chuo Kikuu cha Dodoma ni cha nani?

Sema Chilo

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2012
Posts
324
Reaction score
25
Wana JF naomba mnijibu kwa anayejua, kwamba nani mmiliki haswa wa chuo cha dodoma? Je kuna uhusiano wa chuo cha Dodoma na uuzwaji wa TWIGA na wanyama wengine nchi za kiarabu?
 
hv unauliza seriously au unataka kuongeza idadi ya posts zako humu jf?
 
cha familia ya marehemu Ghaddafi... Yule alokuwa anataka kusilimisha Afrika nzima.
 
Lowasa ndiye aliyesimamia kikajengwa haraka haraka kwa fedha za mifuko ya jamii.
 
Cha serikali ya ccm. 2pe B yako, baada ya kujua cha nani kuna nn hapo udom?
 
'kitu' cha arusha hicho kimeshaingia kwa ubongo
 
Kiwanja kinamilikiwa na BAKWATA.....serikali imekivamia makusudi ili baadae iwe mali ya BAKWATA
 
Wana JF naomba mnijibu kwa anayejua, kwamba nani mmiliki haswa wa chuo cha dodoma? Je kuna uhusiano wa chuo cha Dodoma na uuzwaji wa TWIGA na wanyama wengine nchi za kiarabu?

Ni cha CHAMA CHA MAPINDUZI
Ni miongoni mwa vyuo vya kata
 
Back
Top Bottom