Chuo kikuu cha Dar es salaam

Chuo kikuu cha Dar es salaam

Mushi001

Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
20
Reaction score
4
Wakuu habari zenu,
Nikuwa selected UDSM kwenye provisionally results by TCU course ni enviroment and Geography studies na nilijaza first round hii caurse,
Second round hawakuitolea majibu hii caurse.
Nauliza hapa inakaaje
 
sasa kama umekua selected tatizo liko wapi? umepitia documents walizopublish kwenye website ya chuo ukaona jina lako?
 
wakuu habari zenu
nikuwa selected udism kwenye provisionally results by tcu caurse ni enviroment n geography studies na nilijaza firts round hii caurse
second round hawakuitolea majibu hii caurse
naulizi hapa inakaaje
Dah pole sana mkuu ila Kama umechaguliwa first we nenda then utajua kifuatacho
 
Swali lako halijakaa sawa. Kama ulikuwa provisionally selected-je umecheki selections za UD ambazo wametoa round 2 kama kweli umo au haumo? mengine yafuatie baada ya hapo (I hope nimekuelewa).
 
Swali lako halijakaa sawa. Kama ulikuwa provisionally selected-je umecheki selections za UD ambazo wametoa round 2 kama kweli umo au haumo? mengine yafuatie baada ya hapo (I hope nimekuelewa).
kwenye second selection ndo nikaambiwa nimekuwa provisionally selected
ila first nilikosa kabisa
then wamenijibu leo asubuhi ndo provisionally selected ud course ndo hyo geograph and eviromental studies nilichagua mara yakwanza na kwemye secondround ya ud haipo hii course
hapo nakuwa na wasiwasi
 
kwenye second selection ndo nikaambiwa nimekuwa provisionally selected
ila first nilikosa kabisa
then wamenijibu leo asubuhi ndo provisionally selected ud course ndo hyo geograph and eviromental studies nilichagua mara yakwanza na kwemye secondround ya ud haipo hii course
hapo nakuwa na wasiwasi
Kama uko karibu na Dar au una mtu wa karibu-nenda au aende admissions office, watalitatua hili. Inachukua muda mpaka TCU wapate mrejesho. Nenda na sreen shot zako. Kama uko mbali wajaribu kwa simu lakini uzoefu wangu vyuo vyetu ni vigumu kupokea simu au kujibu e-mail hasa wakati huu wa registration.
 
kwenye second selection ndo nikaambiwa nimekuwa provisionally selected
ila first nilikosa kabisa
then wamenijibu leo asubuhi ndo provisionally selected ud course ndo hyo geograph and eviromental studies nilichagua mara yakwanza na kwemye secondround ya ud haipo hii course
hapo nakuwa na wasiwasi
Hapo sasa umeeleweka...
Hiyo ni kawaida sana...
Imewatokea applicants wengi tu walioomba vyuo second round..!
Yaani mtu unajikuta umechaguliwa program ambayo ulitoswa first round..!
Hiyo inatokea pale chuo kinapohisi kinahitaji kuongeza idadi ya watu katika program husika,so wanachokifanya ni kupick wale walioiomba mara ya kwanza lakini wakakosa nafasi..!
 
Hapo sasa umeeleweka...
Hiyo ni kawaida sana...
Imewatokea applicants wengi tu walioomba vyuo second round..!
Yaani mtu unajikuta umechaguliwa program ambayo ulitoswa first round..!
Hiyo inatokea pale chuo kinapohisi kinahitaji kuongeza idadi ya watu katika program husika,so wanachokifanya ni kupick wale walioiomba mara ya kwanza lakini wakakosa nafasi..!
mwanzo nilipanic bru
asante umenitia moyo..
 
Sikijui ndo maana nashindwa hata nianze vipi..hebu weka vizuri swali lako then kama hujui vifupi vya vyuo bora useme jina lote..then kama english kinakupiga chenga uwe unatafuta hata dictionary unakuwa nayo kwenye smartphone yako..then usijitie kujibu watu ovyo kuwa mpole na kubali unayoambiwa utajua vitu vingi sana na utaweza kuishi na watu wa aina tofautfi tofauti...then kwa kukusaidia nenda chuoni katika department inayohusika na hiyo program uhakiki uwepo wako..ukikuta taarifa zako hazipo panda TCU na hiyo printed info. Ambayo inaonesha umekuwa admitted hapo UDSM
 
wakuu habari zenu
nikuwa selected udism kwenye provisionally results by tcu caurse ni enviroment n geography studies na nilijaza firts round hii caurse
second round hawakuitolea majibu hii caurse
naulizi hapa inakaaje
Aisee wewe umepitaje kwenda chuo kikuu kwa uandishi huu. Full of mistakes in spelling some English words?
 
Matusi ya nini bandugu? haileti picha nzuri kwa jukwaa la elimu.
 
Hahaaaa sivurugwi na kijianaume kinachoshikishwa ukuta Mimi ebo, labda umezoea kuvurugwa na mijemba useme tu hapa sio kujitia chizi kumbe wewe ni zero brain
Moderator Invisible JamiiForums
Huyu mwanamama ananitafutia ban KILAZIMA..!
Nikiamua kwenda nae sambamba itakua shida..!
Wewe Diva Beyonce nakupa last warning...
Usiendelee kunitukana..!
Sishindwi..!!!
 
Back
Top Bottom