Chuo cha urubani Tabata?


labda anawafundisha kwa microsoft flight simulator.. lolz!!! then may be uko tabata anatoa theory course then when time reaches, atawapeleka wanafunzi airport na kukodi ndege ya mafundishio Cessna 152/172... lakini elimu ya urubani jamani sio kitu masihara uanzishe tu, private license tu ni almost 15000USD sasa ukazitoe katika chuo ata hakina hadhi ni kupoteza investment
 

kweli kabisa, huwezi kufundisha ruban kama yule wa hotel management. hapo ni utapeli mtupu.
 
chuo cha urubani kiwe tabata u cant be seriaz khaaa

Wewe na huyo dumuzi madumuzi kweli! Mitanzania bwana tumezoea kuibiwa likisikia chuo kiko nairobi misikio yote inasimama
Eti chuo cha urubani kiwe tbt so what?
 
This is too much. ukiona na ujinga wote huu hachukuliwi hatua ujue CCm na wakuu wake wako nyuma yake
 
Wewe na huyo dumuzi madumuzi kweli! Mitanzania bwana tumezoea kuibiwa likisikia chuo kiko nairobi misikio yote inasimama
Eti chuo cha urubani kiwe tbt so what?

Kwa hiyo chuo kikiwa tz hata kama ni cha utapeli tusiseme? Mbona vingine vlivyopo bapa nchini hatuvisemi. Kuona ubovu na kukaa kimya hakujengi nchi.
 

Ungeanza kuripoti polisi nadhani ingekuwa bora zaidi. Kuliko kuja kutangaza humu ilhali hakuna hata kesi moja iliyofunguliwa kutokana na tuhuma hizo...
 
Jamani ee hebu taratbu kwanza, kuna kitu wachangia hoja hawajakijua mpaka sasa. Ngoja niwafahamishe, ni kwamba bwana charanga ameiona fursa na sasa anaichangamkia.
 

Mkuu kwenye mafunzo ya urubani hiyo simulator uliyo itaja haitambuliki kabisa, simulator zinazo ruhusiwa zimetengenezwa mfano wa cockpit ya ndege ukiingia ndani unakuwa kama uko ndani ya ndege. Bei ya kuzinunua huwa kubwa kuliko bei ya ndege. Kuna chuo kimoja cha private pale airport Dar wanayo. Simulator ulioitaja ni kwa ajili ya burudani tu ni pc game, japo inaweza kusaidia mtu kupata some idea in flying. Kwa kawaida mwanafunzi ili kufanya mtihani wa leseni ya private license lazima awe na masaa 40 ya kiruka. 8 mpaka 10 huwa kwenye simulator. Na hiyo smulator hata ukiinunua huwezi kuitumia chuoni mpaka iidhinishwe na TCAA.
 
Kwa hiyo chuo kikiwa tz hata kama ni cha utapeli tusiseme? Mbona vingine vlivyopo bapa nchini hatuvisemi. Kuona ubovu na kukaa kimya hakujengi nchi.

Tatizo lako wewe na Charanga hujatuambia! Na huu tunauita umbea!Hakuna hata mwanafunzi 1 wala mzazi aliye lalamka mpaka sasa! Unaleta thread hapa eti unahoji chuo cha urubani kiko tabata! Ndege wanafundishwa ubaoni! sijui ada milioni 8 Ujinga mtupu!!! Mashule ya Private yapo kibao Hamjasema watu wanalipa mamilioni ya pesa kupeleka watoto wao chekechea unashangaa mil 2.5 ya Ground handling!
Kama unaona anafaidi kafungue cha kwako
 
What i know mtu yeyote au taasisi inayoendesha au kutaka kuendesha mafunzo yoyote yanayohusu aviation industry hapa Nchini NI LAZIMA wawe certified na TCAA ambaye ndiye agent wa ICAO hapa Tanzania, na hakuna watu strict kwa viwango kama Icao. Hakuna kitu cha kutunga huko, kila la kufanya liko outlined kwenye Annexes.

Sasa kama jamaa huyo alianza zamani(mmesema alianzia huko Banana) inaonyesha kuwa alikuwa certified tayari.
Ila nimeshangaa mmoja amesema kuwa wanajeshi walikuwa wanafundisha hapo chuoni, labda kama walikuwa wanafundisha somo la urubani parse, maana Civil Aviation na Military Aviation ni mbalimbali kabisa.
Chuo kuwa Tabata siyo hoja jamani, cha msingi ni kama ana vifaa vyote vya msingi vya flight simulation, na inapofikia muda wa field ni ishu ya kwenda uwanjani JNIA na kufanya mazoezi.
Ijapokuwa chuo kinapokuwa palepale kiwanjani advantage ni kubwa zaidi, maana wanafunzi wanaanza kuyasikia ma'reversal thrust toka kwenye ndege zinazotua wakiwa darasani, hivyo inawawia rahisi field.
 
Ungeanza kuripoti polisi nadhani ingekuwa bora zaidi. Kuliko kuja kutangaza humu ilhali hakuna hata kesi moja iliyofunguliwa kutokana na tuhuma hizo...

Mkuu this was my observation ili wazazi wafunguke na wenye kazi zao wafuatilie. Nadhani sijakosea.
 
Mkuu this was my observation ili wazazi wafunguke na wenye kazi zao wafuatilie. Nadhani sijakosea.
Mkuu hujakosea.
Masomo ya aviation ni ghali hivyo ni muhimu sana mzazi akapata Value for Money anayoinvest kwa mwanae, vinginevyo hela hiyo ni bora akaifungulia hardware kule Kinyantila.
 
Wanatumia flight simulator apps za Ipad kufundishia
 
Duhhhhh utakuwaje CFI na huna instructors rating. ?
Tuna Mengi ya kujifunza .
 

umeongea vizurisana zamani nilikuwa na wazo la kuwa rubani na his kama umenikumbusha kitu?vp wanachukua degree ya aina gani kuwa rubani.
 
Ungeanza kuripoti polisi nadhani ingekuwa bora zaidi. Kuliko kuja kutangaza humu ilhali hakuna hata kesi moja iliyofunguliwa kutokana na tuhuma hizo...

Kutoa taarifa hapa JF ni namna mojawapo pia ya kufikisha ujumbe kwa wahusika kwani naamini baadhi ya informers wao ni members wa JF. Kumbuka hata swala la Lwakatare inasemekana source yake ilikuwa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…