Chuo cha uopareta wa magreda,rola,vijiko

Chuo cha uopareta wa magreda,rola,vijiko

Kitotonya

Senior Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
188
Reaction score
60
kwanza kabisa napenda kutanguliza shukrani kwa wana jf kutokana na jinsi ninavyo nufaika,hasa pale ninapotaka msaada.

kiukweli kwa sasa vijana wengi hasa wanao maliza la saba na form four ukiwauliza unataka fani gani hawaishi kukuambia mi nataka udereva.wanasahau kwamba udereva kwa sasa sio dili kwa maana watu wengi ni madereva na wengi wanaishia kuendesha daladala na vibajaji. lakini pia wanasahau kuna uopareta wa magreda na sindilia pamoja na vijiko vya kuchotea vifusi.sasa wana jf nimemshauri rafiki yangu aende kusomea hayo maujuzi maana watu wake ni wachache.
swali je ni vyuo gani vinavyotoa hizo kozi na gharama yake ni shiling ngapi.

naomba kuwakilisha.


Chuo cha udereva wa mitambo ya ujenzi kipo Mbeya Tech kwa nchi nzima,

Chuo cha bandari kinajitahidi kwa mbali lakini hakikidhi matakwa ya wataamu wa mitambo ya ujenzi

Kwenye mkutano wa Makandarasi juzi tumeishauri serikali kuvipa uwezo vyuo vingine kama VETA nk viweze kutoa mafunzo hayo ili kusaidia tatozo la ukosefu wa wataalamu hawa!
 
..heavy equipments operator course kwa TZ zinatolewa NIT-mabibo na VETA baadhi ya mikoa, pia chuo cha bandari wanatoa mafunzo ya crane operation, fork lifting etc. anzieni kwenye hizo institutions... lakini pia basically lazima awe na leseni na experience ya udereva wa kawaida kwa kuanzia.
 
Chuo cha udereva wa mitambo ya ujenzi kipo Mbeya Tech kwa nchi nzima,

Chuo cha bandari kinajitahidi kwa mbali lakini hakikidhi matakwa ya wataamu wa mitambo ya ujenzi

Kwenye mkutano wa Makandarasi juzi tumeishauri serikali kuvipa uwezo vyuo vingine kama VETA nk viweze kutoa mafunzo hayo ili kusaidia tatozo la ukosefu wa wataalamu hawa!
 
je hakuna tovuti ya hicho cha bandari na hicho cha mbeya tujapata idea kidogo mkuu.
 
Chuo cha udereva wa mitambo ya ujenzi kipo Mbeya Tech kwa nchi nzima,

Chuo cha bandari kinajitahidi kwa mbali lakini hakikidhi matakwa ya wataamu wa mitambo ya ujenzi

Kwenye mkutano wa Makandarasi juzi tumeishauri serikali kuvipa uwezo vyuo vingine kama VETA nk viweze kutoa mafunzo hayo ili kusaidia tatozo la ukosefu wa wataalamu hawa!


Hiyo course inaitwaje kwa kiingereza?
inatumia mda gani?
ada zake?....
 
mkuu thread yako nimeipend san,vp unaweza ukaniambia kozi inachukua mda gani
 
Wanajamii naomba anae fahamu chuo cha mafunzo ya operator wa magreda hapa TZ anijuz,nahitaji nikapate hjuzi huo wa operator wa magreda,naombeni msaada anaefahamu
 
Back
Top Bottom