Chuo cha Nursing cha Tosamaganga Iringa

Chuo cha Nursing cha Tosamaganga Iringa

jerrto

Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
46
Reaction score
15
Habari za majukumu ndugu zangu,sorry sana kwa usumbufu,but nilikuwa najaribu kutafuta mawasiliano ya chuo cha nursing tosamaganga iringa,kama namba za simu kwa ajili ya kutaka kujua ada zao,qualifications na utaratibu kwa ujumla kwa ajili ya mdogo wangu,unfortunately simfahamu hata mtu mmoja ambaye alisoma au anasoma pale,pia sijafanikiwa kuona hata kupitia mitandaoni nimeona just sanduku la posta ambalo kidogo ni njia ngumu sana ya mawasiliano,ninaombeni msaada wenu kama kuna mtu ana namba au anamjua mtu anayesoma pale, please tujuzane.Muwe na majukumu mema wa ndugu.

NB:msaada wenu ndio urahisi wangu.
 
Daah! Ndugu mimi ni student wa Tosa Boys sec na chuo hiki kipo karibu kdogo na shule yetu infact ni kzuri kwa sababu hzi
-kimaadili kipo under roman catholic chini ya usimamizi wa maccta.
-wanajifunza practically coz wamepakana na hosp ya wilaya ya Tosamaganga
-ni cha wasichana tuu
-kipo nje kdogo ya mji lkn huduma zote zinapatikana.
Nitajitahidi kukutafutia contacts zao kama kwli umemaanisha.
 
Kipo safi sana,Ipamba (Tosamaganga) practical unapiga hapo hapo karibu na IPAMBA HOSPITAL.Kutoka IRINGA TOWN almost 25km.
 
Bado hamjamsaidia mleta mada contacts za hapo chuo wakuu
 
Daah! Ndugu mimi ni student wa Tosa Boys sec na chuo hiki kipo karibu kdogo na shule yetu infact ni kzuri kwa sababu hzi
-kimaadili kipo under roman catholic chini ya usimamizi wa maccta.
-wanajifunza practically coz wamepakana na hosp ya wilaya ya Tosamaganga
-ni cha wasichana tuu
-kipo nje kdogo ya mji lkn huduma zote zinapatikana.
Nitajitahidi kukutafutia contacts zao kama kwli umemaanisha.
thanks ndugu am still waiting for hizo contacts...ntashukuru sana.
 
Huyo dogo mwingine anasema anasoma Tosamaganga Sec na chuo kipo karibu na shule anayosoma, ugumu uko wapi kwenda kumtafutia mawasiliano anayohitaji? Mitoto ya siku hizi bwana, cjui ni uvivu au roho mbaya, km huwezi kumsaidia ungepita2 bila kuchangia utumbo wako hapax
 
thanks ndugu am still waiting for hizo contacts...ntashukuru sana.

Pole ndg hebu jaribu kutafuta contact hata za Ipamba hospital wanaweza kukuunganisha na hao wa chuo, jaribu hata ku-Google maana ila hosp ni kubwa unaweza kuta number zao humo.
 
Aaaaaaa mbona unapanick mbaba Bugurube.
 
Last edited by a moderator:
Daah! Ndugu mimi ni student wa Tosa Boys sec na chuo hiki kipo karibu kdogo na shule yetu infact ni kzuri kwa sababu hzi
-kimaadili kipo under roman catholic chini ya usimamizi wa maccta.
-wanajifunza practically coz wamepakana na hosp ya wilaya ya Tosamaganga
-ni cha wasichana tuu
-kipo nje kdogo ya mji lkn huduma zote zinapatikana.
Nitajitahidi kukutafutia contacts zao kama kwli umemaanisha.
Wilaya ya tosamaganga

sijui kama magufuli ataweza kutumbua mpaka majipu ya namna hii
 
Back
Top Bottom