Chuo cha NIT na utendaji mbovu

Chuo cha NIT na utendaji mbovu

Aliyeanzisha mada ameianzisha kama analalamika lakini mwishoni mwa malalamiko yake anaonesha hajui lolote na anaomba msaada wa kujuzwa. Kulikuwa na ugumu gani kuuliza hiyo hoja yako idarani kwako na wala sio kwa mkuu wa chuo. Mlipokuja kuuliza kama ratiba ya cs ipo mkaambiwa mnatumia ya it mngeuliza hapohapo kwa nini mtumie ya it. Inaacha kuuliza sehemu husika unakimbikia jf. Vyuo haviendeshwi na jf. Na hata suala la jengo unalileta hoja yake halipo kwenye matangazo
 
Aliyeanzisha mada ameianzisha kama analalamika lakini mwishoni mwa malalamiko yake anaonesha hajui lolote na anaomba msaada wa kujuzwa. Kulikuwa na ugumu gani kuuliza hiyo hoja yako idarani kwako na wala sio kwa mkuu wa chuo. Mlipokuja kuuliza kama ratiba ya cs ipo mkaambiwa mnatumia ya it mngeuliza hapohapo kwa nini mtumie ya it. Inaacha kuuliza sehemu husika unakimbikia jf. Vyuo haviendeshwi na jf. Na hata suala la jengo unalileta hoja yake halipo kwenye matangazo ya codes za majengo na hiyo ni kumaanisha kuwa awali kuna jengo mlipangiwa kusoma ila baadae likabadilishwa kwa sababu moja au nyingine. Mwaka 2007 udom ilifunguliwa ikiwa na jengo moja tu la chimwaga likitumika kwa shughuli za ofisi zote na madarasa kwa kozi zote. My dears kama mmejiandaa kuendesha shule kwa kupitia jf, jifikirieni upya. Ipo siku mtatafuta muda wa test jf
 
... zinaweza kukusaidia kupata hata internships kampuni za nje, India, Japan, US, UK pote kuna makampuni mengi yanatoa internships kwa international students ila kwa kua una~disadvantage tayari ya chuo ambacho hawakijui, apps ambazo utakua umefanya zitakunyanyua sana, wanajali sana projects zako kuliko grades za darasani au chuo ulichosoma. Naongea from experience.


Mkuu, hapo kwenye bold & underlined, unamaanisha nini? Tafadhari kaka naomba ufafanue kidogo.
 
Mimi ni mwanafunzi wa NIT wa mwaka wa kwanza ninayechukua bachelor ya Computer Science na bado hatujajua ratiba rasmi ya kozi yetu kwa semister hii had sasa.
Siku ya leo wenzetu wa IT wamepata ratiba yao yenye masomo manne ambayo Computing Mathematics,Fundamentals of computer,Computing and Applications n Programming principles. Tulivyoibuka stationery kuulizia ratiba wametuambia tutatumia ya IT kama ilivyo. Japokuwa ratiba ya IT imetoka leo lakini masomo hawajaanza kutokana na jengo linalotazamiwa kusomewa kutokamilika. Na inavyosemekana hata kesho itakuwa kuna ugumu vile vile.
Naomba kufahamu kwa waliotangulia ni kwamba kwa semister ya kwanza IT n CS huwa wanachanganywa na ratiba zinafanana au kwa sababu ya uhaba wa madarasa kwa NIT.
Na kama kuna mtu aliyemaliza Computer Science na ana full topics kwa 3 years aniorodhoshee nisome binafsi. Naona wanatuyeyusha hata kwenye profile zetu kwa tunaosoma CS hawajatuwekea ratiba....
Asante kwa kupost kwa mara ya kwanza
 
Back
Top Bottom