dragon ball
Member
- Jul 17, 2015
- 57
- 4
Mimi ni mwanafunzi wa NIT wa mwaka wa kwanza ninayechukua bachelor ya Computer Science na bado hatujajua ratiba rasmi ya kozi yetu kwa semister hii had sasa.
Siku ya leo wenzetu wa IT wamepata ratiba yao yenye masomo manne ambayo Computing Mathematics,Fundamentals of computer,Computing and Applications n Programming principles. Tulivyoibuka stationery kuulizia ratiba wametuambia tutatumia ya IT kama ilivyo. Japokuwa ratiba ya IT imetoka leo lakini masomo hawajaanza kutokana na jengo linalotazamiwa kusomewa kutokamilika. Na inavyosemekana hata kesho itakuwa kuna ugumu vile vile.
Naomba kufahamu kwa waliotangulia ni kwamba kwa semister ya kwanza IT n CS huwa wanachanganywa na ratiba zinafanana au kwa sababu ya uhaba wa madarasa kwa NIT.
Na kama kuna mtu aliyemaliza Computer Science na ana full topics kwa 3 years aniorodhoshee nisome binafsi. Naona wanatuyeyusha hata kwenye profile zetu kwa tunaosoma CS hawajatuwekea ratiba....
Siku ya leo wenzetu wa IT wamepata ratiba yao yenye masomo manne ambayo Computing Mathematics,Fundamentals of computer,Computing and Applications n Programming principles. Tulivyoibuka stationery kuulizia ratiba wametuambia tutatumia ya IT kama ilivyo. Japokuwa ratiba ya IT imetoka leo lakini masomo hawajaanza kutokana na jengo linalotazamiwa kusomewa kutokamilika. Na inavyosemekana hata kesho itakuwa kuna ugumu vile vile.
Naomba kufahamu kwa waliotangulia ni kwamba kwa semister ya kwanza IT n CS huwa wanachanganywa na ratiba zinafanana au kwa sababu ya uhaba wa madarasa kwa NIT.
Na kama kuna mtu aliyemaliza Computer Science na ana full topics kwa 3 years aniorodhoshee nisome binafsi. Naona wanatuyeyusha hata kwenye profile zetu kwa tunaosoma CS hawajatuwekea ratiba....