habarini wakuu, jamani
sijui kama ndo kinavyoitwa au la. ila ningependa kufahamishwa kwa
anaejua mahali chuo kinachofundisha fani hii. labda anisaidie kwa
kuniambia kipo wapi kwa hapa Dar es salaam pia matawi yake yako mikoa
ipi. ni matumaini yangu nimeeleweka, asanteni na naomba
kuwasilisha