Chuo cha hali ya hewa

Chuo cha hali ya hewa

thegreen

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2013
Posts
369
Reaction score
172
habarini wakuu, jamani sijui kama ndo kinavyoitwa au la. ila ningependa kufahamishwa kwa anaejua mahali chuo kinachofundisha fani hii. labda anisaidie kwa kuniambia kipo wapi kwa hapa Dar es salaam pia matawi yake yako mikoa ipi. ni matumaini yangu nimeeleweka, asanteni na naomba kuwasilisha
 
Watu wa jangwani na msimbazi chuo hiki hautaki ata kukisikia kutokana na dhahama iliyotukumba karibuni....
 
habarini wakuu, jamani
sijui kama ndo kinavyoitwa au la. ila ningependa kufahamishwa kwa
anaejua mahali chuo kinachofundisha fani hii. labda anisaidie kwa
kuniambia kipo wapi kwa hapa Dar es salaam pia matawi yake yako mikoa
ipi. ni matumaini yangu nimeeleweka, asanteni na naomba
kuwasilisha

Hiyo course inatolewa pale WDMI maarufu kama chuo cha maji near COET
 
kipo kigoma,nadhan ukiajiriwa ndo unapelekwa pale kwa udhamini wa TMA..
 
Chuo cha usimamizi wa maji (wdmi) kozi inaitwa hydrology and meteology diploma miaka 3. Nipo hapo ila nasoma kozi tofauti
 
Kwa sasa utaratibu ni kwamba ajira zinatangazwa, na unaomba kama kawaida lakini kwa masharti ya kujiunga na kozi ya hali ya hewa kigoma. Hii ni kwa wale waliosoma combinations za PCM na PGM tu.
 
Back
Top Bottom