Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,776
Heshima kwenu wakuu,
Naomba nifahamu kama chuo cha COTC Mtwara kinatoa fani ya ufamasia.
Naomba nifahamu kama chuo cha COTC Mtwara kinatoa fani ya ufamasia.
Heshima kwenu wakuu,
Naomba nifahamu kama chuo cha COTC Mtwara kinatoa fani ya ufamasia.
Heshima kwenu wakuu,
Naomba nifahamu kama chuo cha COTC Mtwara kinatoa fani ya ufamasia.
Kama ni NTA 4,ni Certificate kabla ya Diploma?!Mkuu inabidi kuelewa unachohitaji hasa, kwani nielewavyo mimi ufamasia kwa kiingereza ni Pharmacist, na huyo ana degree ya kwanza. Hiyo kozi haipo chuo chochote cha COTC. Kwa maana ya kozi za cheti COTC Mtwara wameanza kutoa kozi ya cheti ya mwaka mmoja, yaani Basic Pharmaceutical Technician (NTA Level 4) na ukimaliza na kufaulu unaitwa medicine dispenser na sio mfamasia. I stand to be corrected
Yap.....NTA level 6 ndio Diploma....naamini watakuwa wanatoa mpaka Diploma but Im not sure.......Kama ni NTA 4,ni Certificate kabla ya Diploma?!