Wakuu habari, naomba ushauri. Kijana wangu amemaliza kidato cha nne mwaka 2023 akichukua combination za arts, lakini amepata D moja tu (Kiswahili). Je, katika hali hii anaweza kupata nafasi ya kujiunga na chuo bila kureseat? Kama haiwezekani, ni vituo gani vinajulikana kwa kufaulisha vizuri wanaorudia mitihani?