TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,898
- 11,292
saal kwa jina na bwana anayetuweka hai... nina raha kubwa kurudi kundini na hasa enzi zile nikiwa mchanga JF....
Leo nikiwa lunch chini ya muti, nilipata bahati ya kumuangali dada mmoja akiongea na mtu kwenye kimobaili, it was like a movie, yani dada alikua anajishaua, abinue mdomo, afinye macho... na kali zaidi pale ambapo alikua hasikii vizuri simu yake basi alikua anabinua hadi pua, na kuweka vidole kila mtindo
I got an interest kujua... hivi huwa mnaangalia watu wakiongea na mobile??
Mwingine ni jamaa alikua next table, yeye alikua anapaza sauti mno kila mtu amsikie kwamba amepata line safi
Ni friday na red label has already been procured for a special day
Leo nikiwa lunch chini ya muti, nilipata bahati ya kumuangali dada mmoja akiongea na mtu kwenye kimobaili, it was like a movie, yani dada alikua anajishaua, abinue mdomo, afinye macho... na kali zaidi pale ambapo alikua hasikii vizuri simu yake basi alikua anabinua hadi pua, na kuweka vidole kila mtindo
I got an interest kujua... hivi huwa mnaangalia watu wakiongea na mobile??
Mwingine ni jamaa alikua next table, yeye alikua anapaza sauti mno kila mtu amsikie kwamba amepata line safi
Ni friday na red label has already been procured for a special day