Chungu ya Mke wa Mtu...

Msilete mchezo mambo hayo yapo sana tu ,

Tena hapo Dar wazee na vijana wenye kutembea na wake za watu mtazame sana...!!
 
WITHOUT ANY PREJUDICE:
1.Kama ni mume kweli kafanya hivi, basi kamuaibisha mkewe lakini baya zaidi kajiabisha na yeye mwenyewe.
2.Kama alijua/alihisi mkewe anamwendea kinyume, angefanya jitihada za kumuuliza kulikoni na kukanyana kistaarabu na ikishindikana waachane kuliko kujitia aibu namna ile.
3.Mke na mume siyo kama wapangaji au mahasimu wanaotafutana kila kukicha.Wanatakiwa kustahiana na kurekebishana .Hiyo siyo staha kwa kipimo chochote kile.
 
Unategemea nini kama mwenzio agharamie, wewe uparamie!..Mke,mume+jamaa wote aibu!


Bellie,

kwani hapo aliyemparamia mwenziwe ni nani? Nadhani walikubaliana and those are two adults, sex kati ya two consenting adults. Hii habari ya kugaramiwa imakaaje na jamaa 'aliyeparamia' kwa maana 'aliyeiba' mke wa mtu, 'hajaparamiwa' na uyo mwanamke kweli?:confused:

huyo mume, nadhani ndo mwenye matatizo kmwekea mkewe 'tego' ilhali akijiachia 'free like a molecule' kwa vicheche wengine. Alitoa wapi hiyo moral authority.....:eek:

Lakini mambo haya ya 'ushirikina' tena wa aina hii umepitwa na wakati, kama anaweza kufanya hivo basi wangekuwa mbali sana kimaendeleo kwa maana ya kutumia hizo nguvu za giza more positively. lol
 
Back
Top Bottom