WITHOUT ANY PREJUDICE:
1.Kama ni mume kweli kafanya hivi, basi kamuaibisha mkewe lakini baya zaidi kajiabisha na yeye mwenyewe.
2.Kama alijua/alihisi mkewe anamwendea kinyume, angefanya jitihada za kumuuliza kulikoni na kukanyana kistaarabu na ikishindikana waachane kuliko kujitia aibu namna ile.
3.Mke na mume siyo kama wapangaji au mahasimu wanaotafutana kila kukicha.Wanatakiwa kustahiana na kurekebishana .Hiyo siyo staha kwa kipimo chochote kile.
kwani hapo aliyemparamia mwenziwe ni nani? Nadhani walikubaliana and those are two adults, sex kati ya two consenting adults. Hii habari ya kugaramiwa imakaaje na jamaa 'aliyeparamia' kwa maana 'aliyeiba' mke wa mtu, 'hajaparamiwa' na uyo mwanamke kweli?
huyo mume, nadhani ndo mwenye matatizo kmwekea mkewe 'tego' ilhali akijiachia 'free like a molecule' kwa vicheche wengine. Alitoa wapi hiyo moral authority.....
Lakini mambo haya ya 'ushirikina' tena wa aina hii umepitwa na wakati, kama anaweza kufanya hivo basi wangekuwa mbali sana kimaendeleo kwa maana ya kutumia hizo nguvu za giza more positively. lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.