mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 547
- 393
Salaam!
Kijana chunga vitu viwili la sivyo tutahangaika na tusijue wapi tulipokosea tutafute namna bora ya kutumia ulimi wetu si kila jambo tunaweza sema au nyeti tukazitumia kila mahala.
kwan majuto yake huwa ni makubwa na utawaacha wanaokulilia bila sababu za msingi.
Tutafakari si kila jambo unaweza sema tutakwisha!!
Kijana chunga vitu viwili la sivyo tutahangaika na tusijue wapi tulipokosea tutafute namna bora ya kutumia ulimi wetu si kila jambo tunaweza sema au nyeti tukazitumia kila mahala.
kwan majuto yake huwa ni makubwa na utawaacha wanaokulilia bila sababu za msingi.
Tutafakari si kila jambo unaweza sema tutakwisha!!