Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,135
- 1,000
weka picha mkuu haina jiko lake ndani
Hajasema nishati gani inatumika kwenye hiyo nyumba km ni umeme huo wa 30 elfu, kuni, mkaa, gesi, au motopoa. Energy source ni muhimu hapo Kijanakijana kuja huku tupe mwongozo