Chumba na sebule for rent Kimara kituoni kabisa

Chumba na sebule for rent Kimara kituoni kabisa

Da dalali noma Yaani umeandika na kupambia Naona kama nakuona vie unavyopambia chumba.Lakini mwisho ukaacha vitu muhimu kibiashara mawasiliano kama wenzio wengi wanavyoacha na kukumbushwa.
 
Marketing strategy imeshika kasi, jamaa yangu keshatua eneo la tukio alichokiona asema hii ni bongo kwa hiyo ........
 
Mi ni mkazi wa kimara mwisho,Hiyo bei ni kubwa sana kwa vyumba viwili pia bei ya umeme iko juu sana,kwa bei hiyo hapa kimara unapata appartment kabisa...
 
Angalia gharama ya kulipia pango kwa mwaka, umeme tajwa kwa mwezi mara miezi kumi na mbili .

Utajikuta umeshalipia kiwango fulani cha pesa ya kwanja cha 20 kw 20 squater, kama una njozi za kujenga nyumba yako. Ikiwa utamudu gharama za hilo pango

Tumia pesa ikuzoee tutajenga tu mkuu☆☆★
 
Kwa bei ya mwezi mmoja hiyo mi nakupa design ya nyumba ukajenge, karibu.
 

Attachments

  • 1405119067079.jpg
    1405119067079.jpg
    81.3 KB · Views: 145
nyie watu mnajua hata gharama za kujenga lakini?

Mkuu, ujenzi ni gharama sana kuanzia bei ya kiwanja, materials, ramani, mpaka inaitwa nyumba tayari mamilioni yameteketea,

Hoja yangu ni kwamba nimpe ramani ya nyumba kwa bei ya mwezi mmoja ili ajiandar kujenga ya kwake.
 
da umeme 30000 X 12=360,000
kodi per year 150000 X 12=1,800,000
-jumla 2,160,000.
nilikuwa na mipango yakuamia huko mwaka huu,ila naona niamie pande za tabata tu.
 
Kwa kodi hiyo ndio maana vijana wanaendelea kujibanza kwa baba zao, hapo ukijumlisha utapata 180000 kwa mwezi,mshahara tgs A kabisa huo.
 
maji hujahesabu..

Takataka na majitaka bado hujajumlisha hesabu yake, vip ulinzi mbona mnasahau jamani sio wote wenye grill na mbwa na electrical defence fence!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom