Kipo umbali gani toka barabarani? gari linafika hapo? weka bei
hakipo mbali na barabara kuu ni karibu na shule ya luanda.
600,000WEKA BEI, au unauza bure??
vitu vyote ulivyotaja bei laki 6 tu? inawezekana unataka kuwaingiza wenzio mjini600,000
salaam ndugu wana jf,chumba kinauzwa na vitu vilivyomo ndani,km kitanda(5*6)godoro,meza,tv,radio feni,vyombo vya kupikia na vngine vingi,kipo mama joni atakayehitaji ani pm.ahsanteni
600,000
vitu vyote ulivyotaja bei laki 6 tu? inawezekana unataka kuwaingiza wenzio mjini
Hiyo mama joni iko Sinza, Urambo, Longido, Tandahimba au Nkasi..!?? au ndo ike ya Mbagala mwisho.!??
vitu vyote ulivyotaja bei laki 6 tu? inawezekana unataka kuwaingiza wenzio mjini
Naloli "ulinasyo"
Unajuaje labda kitanda 3 x 6 Tz 40,000 godoro la 35,000 jiko la mchina na TV mgongo halafu nchi 14 125,000,
So ni bora angethaminisha vitu vilivyomo ndani na hadhi ya chumba chenyewe kama kuna vitu kama umeme, maji nk
vitu vyote ulivyotaja bei laki 6 tu? inawezekana unataka kuwaingiza wenzio mjini
Weka namba upigiwe