Chumba kinahitajika

Chumba kinahitajika

moe junior

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
910
Reaction score
947
Amani kwenu!! Nahitaji chumba na sebure kati ya Mbezi africana mpaka makumbusho. Bajeti isizidi 100k.napatikana kwa 0784199394
 
kwa hayo maeneo na hiyo bei hata pagale hauwezi kupangishwa mkuu,kaishi kibaha huko vikindu kwa mzee panga la shaba
 
Choo cha nje mnashea wapangaji 4, haina jiko...unapikia barazani. Umeme kushare watu 4 na mwenyenyumba 10,000 (15000 kama unafriji) kila mwezi, maji 7000, taka 2000 na ulinzi shirikishi 1000. Tangi bovu upande wa juu, umbali 1.5km toka barabaraya bagamoyo. Uko tayari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom