Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,040
- 1,273
Wakuu nahitaji chumba kimoja(Self contained) cha kupanga kilicho standard ,maeneo kiwe kuanzia Airport road-Bwiru mpaka mjini,kiwe maeneo ya kufikika main road kirahisi maana sina private car kama unacho au unamfahamu dalali nishitue natanguliza shukurani!