wana jf napenda kuwa tahadharisha juu ya mchezo wa bahati na sibu ya voda promo. jamaa ki ukweli wamekua wezi. wanawapigia wa2 na kuwataarifu wameshinda pikipk, lakin cha ajabu ni mwezi mzima umeisha bila kutoka kwa zawadi hiyo. baya zaidi namba wanayokupigia, ukiwapigia wewe haipatikani. VODA HUU NI UUNGWANA KWELI?