Chukua hii hapa

Chukua hii hapa

Sicario poison

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2021
Posts
2,325
Reaction score
4,569
Wasalam wana JF,

Wakati tunajiandaa kuwashuhudia ndugu Watanzania wenzetu hapo kesho kwenye mtifuano wa shirikisho, tuangazie wafungaji bora wa ligi yetu kwa misimu mitano iliyopita.

Hii inaonyesha ni jinsi gani dhahiri shahiri kwamba Simba ina kikosi bora kilichopelekea kupata mchezaji mwenye magoli mengi.

2017 - 2018 Emanuel Okwi (Simba SC)
2018 - 2019 Medie Kagere (Simba SC)
2019 - 2020 Medie Kagere (Simba SC)
2020 - 2021 John Bocco (Simba SC)
2021 - 2022 George Mpole (Geita Gold)

Utabiri:
2022 - 2023 Mosses Phiri
 
Tatizo letu kubwa ni uchawi, kuhonga na chuki zisizo na maana yoyote katika maendeleo ya soka. Lakini kwa kusema ukweli Yanga, Simba, Azam na timu nyingi za NBC Premier League zina wachezaji wazuri.

Ufungaji bora hauifanyi timu kuwa bingwa ikiwa mna kipa na mabeki wasiyo wazuri.
 
Tatizo letu kubwa ni uchawi, kuhonga na chuki zisizo na maana yoyote katika maendeleo ya soka. Lakini kwa kusema ukweli Yanga, Simba, Azam na timu nyingi za NBC Premier League zina wachezaji wazuri.

Ufungaji bora hauifanyi timu kuwa bingwa ikiwa mna kipa na mabeki wasiyo wazuri.
Kwa kipindi chote simba ilipotoa mfungaji bora iliishia kutwaa na kombe la ligi.
 
Kwa kipindi chote simba ilipotoa mfungaji bora iliishia kutwaa na kombe la ligi.
Ni kweli, kwa kuwa alikuwa na walinzi wazuri, lakini ikiwa mfungaji anafunga na huko nyuma mabeki na kipa wanaruhusu magoli yaingie inakuwa hakuna maana, mfano Geita gold walitoa mfungaji bora last season lakini waliruhusu kufungwa pia ndiyo maana hawakuweza kutwaa ubingwa hata kama walikuwa na mfungaji bora. Na kitu kingine ikiwa timu ina mfungaji zaidi ya mmoja usitegemee pakatokea na mfungaji bora wa ligi katika timu hiyo.
 
Ni kweli, kwa kuwa alikuwa na walinzi wazuri, lakini ikiwa mfungaji anafunga na huko nyuma mabeki na kipa wanaruhusu magoli yaingie inakuwa hakuna maana, mfano Geita gold walitoa mfungaji bora last season lakini waliruhusu kufungwa pia ndiyo maana hawakuweza kutwaa ubingwa hata kama walikuwa na mfungaji bora. Na kitu kingine ikiwa timu ina mfungaji zaidi ya mmoja usitegemee pakatokea na mfungaji bora wa ligi katika timu hiyo.
Mara ya Mwisho Bocco kuwa mfungaji bora unaweza kukumbuka idadi ya magoli ya Kagere na Mugalu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom