Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,408
Nimepanda Hiace toka hapa banana naelekea mjini kuona mandhari abiria 1 akataka kuingia kondakta akamjibu kwa lafudhi ya Arusha "usije maana gari iko NGAA"
Nikadodosa NGAA ni nini nikaambiwa maana yake imejaa haipakizi tena
Hebu tupia misamiati mingine ya chuga tusiyoijua kwenye comments tujifunze sisi wa Dar maana wakina Miss Buza wetu wakija huku wata-shaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikadodosa NGAA ni nini nikaambiwa maana yake imejaa haipakizi tena

Hebu tupia misamiati mingine ya chuga tusiyoijua kwenye comments tujifunze sisi wa Dar maana wakina Miss Buza wetu wakija huku wata-shaa
Sent using Jamii Forums mobile app