mim sina nguvu za kumpoteza,anayepoteza watu ni shetani,kama kapotea au bado yuko kundini anajua Mungu.
Kumbukeni hata watumishi ni wanadamu,leo mtaongelea uvaaji wake kesho mtaongelea uongeaji wake mwishowe kila mtakachokiona kwake mtakiona ni cha ki freemasons.Christina ni mmoja wa watumishi wenye hofu ya Mungu ndio maana hata scandal za ajabu hana.