Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,923
Ni kweli Argentina ni timu nzuri kuliko ureno wala jamaa hajakoseaWewe chizi, kama kashindwa mfaransa unadhani Argentina wakafanya nini so far, acha ushabiki wa kij****a
Ni kweli Argentina ni timu nzuri kuliko ureno wala jamaa hajakoseaWewe chizi, kama kashindwa mfaransa unadhani Argentina wakafanya nini so far, acha ushabiki wa kij****a
Uzuri wa mtu mmoja mmoja ambao hauna matokeo yoyote ya maana/kujivunia.Ni kweli Argentina ni timu nzuri kuliko ureno wala jamaa hajakosea
Messi=SserunkumaMimi nashangaa wanamfananisha na MFALME duh hawa watu vipi? Ronaldo kwanza hastahiki kupewa hicho cheo wanachokitamani hawa washabiku wake maana humu hapatokalika!
Messi=
Ronaldo=Samatta
Rafiki,ulinganifu wako hauna mantiki..simply improbable. Portugal amemfunga France, France alimfunga Germany, Germany alimfunga Argentina 4-0 Mwaka ule....! Mpira unachezwa uwanjani. S Porojo hiziMessi hachezi mpira wake kwa kujishindanisha na fulani, unaflow kwa namna yake. Christian Ronaldo anapanua mbavu kutafuta kitu fulani. Credits zangu kwa Ronaldo ni fighting spirit, japo anaharibu kwa kutafuta sifa za kijinga. Messi is just a soccer genius, plays what comes in foot.
Nikukumbushe pia, Ureno ile iliyoshinda Euro ikicheza na Argentina ile iliyoshika nafasi ya pili Copa America, Ureno itaiaibisha Ulaya.
Rafiki,ulinganifu wako hauna mantiki..simply improbable. Portugal amemfunga France, France alimfunga Germany, Germany alimfunga Argentina 4-0 Mwaka ule....! Mpira unachezwa uwanjani. S Porojo hizi
Mpira unachezwa uwanjani!
Kama mpira ungechezwa kwa kuangalia rekodi...Ujerumani asingemfunga Brazili 7-1.
Mpira unachezwa uwanjani!
Kama mpira ungechezwa kwa kuangalia rekodi...Ujerumani asingemfunga Brazili 7-1.
Mpira unachezwa uwanjani!
Kama mpira ungechezwa kwa kuangalia rekodi...Ujerumani asingemfunga Brazili 7-1.
Unamahaba mpaka unakuwa kipofu,Brazil hana mpira yule, so usimlinganishe na baba yake wa america ya kusini! "Arg ni timu ambayo isiyotabirika duniani" nadhani huu msemo unaufahamu!
Timu yeyote inayokutana na hawa jamaa yatakiwa ijipange kisawa sawa, in-short ni timu ambayo imekamilika kila idara, tatizo linalowaumiza na kupelekea baadhi ya mastaa wa hiyo timu kutundika daluga uongozi wa chama chao AFA ndio kina matstizo,hakiwathamini!
Nilikosea hapo, ujerumani kapigwa 10 times kwa 8,na wamedraw 4 times
Kaangalie viwango vya fifa vya mwaka 2016 july... Utapata jibu!!!Uzuri wa mtu mmoja mmoja ambao hauna matokeo yoyote ya maana/kujivunia.
Argentina- Fainali nne= 0 kombe.
Portugal-Fainali mbili= 1 kombe.
Ipi timu nzuri hapo sasa?
Kwasababu walicheza soka uingereza? Hapa urafiki umehusika...
Reference yangu ni France...wewe yako ni ipi?au assumption?Messi hachezi mpira wake kwa kujishindanisha na fulani, unaflow kwa namna yake. Christian Ronaldo anapanua mbavu kutafuta kitu fulani. Credits zangu kwa Ronaldo ni fighting spirit, japo anaharibu kwa kutafuta sifa za kijinga. Messi is just a soccer genius, plays what comes in foot.
Nikukumbushe pia, Ureno ile iliyoshinda Euro ikicheza na Argentina ile iliyoshika nafasi ya pili Copa America, Ureno itaiaibisha Ulaya.
Uzuri wa mtu mmoja mmoja ambao hauna matokeo yoyote ya maana/kujivunia.
Argentina- Fainali nne= 0 kombe.
Portugal-Fainali mbili= 1 kombe.
Ipi timu nzuri hapo sasa?
Tulia kijana, basi tufanye Messi kashinda Copa americaKama hujui kugoogle omba msaada tutakufundisha! Huwezi kuwafananisha nyangumi na sato wakawa sawa
Ureno wamechukua kombe lkn bahati imewatembelea,kwani mechi nyingi tumeziona wakicheza hovyo kabisa,na hasa huyo mnaempenda tumeona akiwa anarukaruka tuu uwanjani., kama hamtaki ipeleke ureno icheze na Argentina uone...
Hivyo viwango hata ubelgiji yupo juu ya ureno na germany, lkn Germany ni bingwa wa dunia, Chile kampiga Argentina fainali mbili mfululizo lkn yuko chini. Tunachoangalia ni vikombe achana na hizo blaa blaaKaangalie viwango vya fifa vya mwaka 2016 july... Utapata jibu!!!
Friendly match ya Portugal vs Argentina ya mwisho ureno walishinda 1-0Usiongee kishabiki mzee..Kumbuka kuwa Argentina huwa hafungwi kirahisi rahisi unavofikiria the best team in the world!
Kampiga ujerumani 10 kwa 8, na wamedraw 4times,,! Hao wengine ndio usiseme wamepigwa ka ndala fc
So huyo mreno wako akikutana na hao wa America ya kusini (Argentina) atakula nyingi tu!
Kumbuka kuwa olympic games Ureno kapangwa na Argentina U23
Chile kampiga argentina copa america halafu huyo Chile kwenye world Cup alifikia wapi? Ubelgiji kuwa juu ya ureno ni sawa tu...huyo ureno ni kipofu ambaye siku zote haoni ila kabahatika kuona mwezi mwaka huu!!!Hivyo viwango hata ubelgiji yupo juu ya ureno na germany, lkn Germany ni bingwa wa dunia, Chile kampiga Argentina fainali mbili mfululizo lkn yuko chini. Tunachoangalia ni vikombe achana na hizo blaa blaa