Christiano Ronaldo anabebwa mno na vyombo vya habari

Ni kweli Argentina ni timu nzuri kuliko ureno wala jamaa hajakosea
Uzuri wa mtu mmoja mmoja ambao hauna matokeo yoyote ya maana/kujivunia.
Argentina- Fainali nne= 0 kombe.
Portugal-Fainali mbili= 1 kombe.
Ipi timu nzuri hapo sasa?
 
Mi niliona hilo nikajiuliza nikasema labda sijui mpira,hata kabla ya hii fainali ronaldo alikua akirudiwa kuoneshwa yeye kuanzia asubuh mpaka mechi mpya ikianza,anapendwa jamanii
 
Messi hachezi mpira wake kwa kujishindanisha na fulani, unaflow kwa namna yake. Christian Ronaldo anapanua mbavu kutafuta kitu fulani. Credits zangu kwa Ronaldo ni fighting spirit, japo anaharibu kwa kutafuta sifa za kijinga. Messi is just a soccer genius, plays what comes in foot.

Nikukumbushe pia, Ureno ile iliyoshinda Euro ikicheza na Argentina ile iliyoshika nafasi ya pili Copa America, Ureno itaiaibisha Ulaya.
Rafiki,ulinganifu wako hauna mantiki..simply improbable. Portugal amemfunga France, France alimfunga Germany, Germany alimfunga Argentina 4-0 Mwaka ule....! Mpira unachezwa uwanjani. S Porojo hizi
 
Rafiki,ulinganifu wako hauna mantiki..simply improbable. Portugal amemfunga France, France alimfunga Germany, Germany alimfunga Argentina 4-0 Mwaka ule....! Mpira unachezwa uwanjani. S Porojo hizi


Usiongee kishabiki mzee..Kumbuka kuwa Argentina huwa hafungwi kirahisi rahisi unavofikiria the best team in the world!
Kampiga ujerumani 10 kwa 8, na wamedraw 4times,,! Hao wengine ndio usiseme wamepigwa ka ndala fc

So huyo mreno wako akikutana na hao wa America ya kusini (Argentina) atakula nyingi tu!


Kumbuka kuwa olympic games Ureno kapangwa na Argentina U23
 
Mpira unachezwa uwanjani!

Kama mpira ungechezwa kwa kuangalia rekodi...Ujerumani asingemfunga Brazili 7-1.

Brazil hana mpira yule, so usimlinganishe na baba yake wa america ya kusini! "Arg ni timu ambayo isiyotabirika duniani" nadhani huu msemo unaufahamu!

Timu yeyote inayokutana na hawa jamaa yatakiwa ijipange kisawa sawa, in-short ni timu ambayo imekamilika kila idara, tatizo linalowaumiza na kupelekea baadhi ya mastaa wa hiyo timu kutundika daluga ni uongozi wa chama chao AFA ndio kina matstizo,hakiwathamini!
 
Mpira unachezwa uwanjani!

Kama mpira ungechezwa kwa kuangalia rekodi...Ujerumani asingemfunga Brazili 7-1.

Brazil hana mpira yule, so usimlinganishe na baba yake wa america ya kusini! "Arg ni timu ambayo isiyotabirika duniani" nadhani huu msemo unaufahamu!

Timu yeyote inayokutana na hawa jamaa yatakiwa ijipange kisawa sawa, in-short ni timu ambayo imekamilika kila idara, tatizo linalowaumiza na kupelekea baadhi ya mastaa wa hiyo timu kutundika daluga uongozi wa chama chao AFA ndio kina matstizo,hakiwathamini!
Mpira unachezwa uwanjani!

Kama mpira ungechezwa kwa kuangalia rekodi...Ujerumani asingemfunga Brazili 7-1.

Nilikosea hapo, ujerumani kapigwa 10 times kwa 8,na wamedraw 4 times
 
Brazil hana mpira yule, so usimlinganishe na baba yake wa america ya kusini! "Arg ni timu ambayo isiyotabirika duniani" nadhani huu msemo unaufahamu!

Timu yeyote inayokutana na hawa jamaa yatakiwa ijipange kisawa sawa, in-short ni timu ambayo imekamilika kila idara, tatizo linalowaumiza na kupelekea baadhi ya mastaa wa hiyo timu kutundika daluga uongozi wa chama chao AFA ndio kina matstizo,hakiwathamini!


Nilikosea hapo, ujerumani kapigwa 10 times kwa 8,na wamedraw 4 times
Unamahaba mpaka unakuwa kipofu,
Argentina kapigwa mara 43,kadroo 25 na kashinda 38 dhidi ya Brasil.
Hivyo kuyumba kwao kusikufanye upofu.
 
Uzuri wa mtu mmoja mmoja ambao hauna matokeo yoyote ya maana/kujivunia.
Argentina- Fainali nne= 0 kombe.
Portugal-Fainali mbili= 1 kombe.
Ipi timu nzuri hapo sasa?
Kaangalie viwango vya fifa vya mwaka 2016 july... Utapata jibu!!!
 
Messi hachezi mpira wake kwa kujishindanisha na fulani, unaflow kwa namna yake. Christian Ronaldo anapanua mbavu kutafuta kitu fulani. Credits zangu kwa Ronaldo ni fighting spirit, japo anaharibu kwa kutafuta sifa za kijinga. Messi is just a soccer genius, plays what comes in foot.

Nikukumbushe pia, Ureno ile iliyoshinda Euro ikicheza na Argentina ile iliyoshika nafasi ya pili Copa America, Ureno itaiaibisha Ulaya.
Reference yangu ni France...wewe yako ni ipi?au assumption?
 
Uzuri wa mtu mmoja mmoja ambao hauna matokeo yoyote ya maana/kujivunia.
Argentina- Fainali nne= 0 kombe.
Portugal-Fainali mbili= 1 kombe.
Ipi timu nzuri hapo sasa?

Kama hujui kugoogle omba msaada tutakufundisha! Huwezi kuwafananisha nyangumi na sato wakawa sawa

Ureno wamechukua kombe lkn bahati imewatembelea,kwani mechi nyingi tumeziona wakicheza hovyo kabisa,na hasa huyo mnaempenda tumeona akiwa anarukaruka tuu uwanjani., kama hamtaki ipeleke ureno icheze na Argentina uone...
 
Kama hujui kugoogle omba msaada tutakufundisha! Huwezi kuwafananisha nyangumi na sato wakawa sawa

Ureno wamechukua kombe lkn bahati imewatembelea,kwani mechi nyingi tumeziona wakicheza hovyo kabisa,na hasa huyo mnaempenda tumeona akiwa anarukaruka tuu uwanjani., kama hamtaki ipeleke ureno icheze na Argentina uone...
Tulia kijana, basi tufanye Messi kashinda Copa america
 
Kaangalie viwango vya fifa vya mwaka 2016 july... Utapata jibu!!!
Hivyo viwango hata ubelgiji yupo juu ya ureno na germany, lkn Germany ni bingwa wa dunia, Chile kampiga Argentina fainali mbili mfululizo lkn yuko chini. Tunachoangalia ni vikombe achana na hizo blaa blaa
 
Usiongee kishabiki mzee..Kumbuka kuwa Argentina huwa hafungwi kirahisi rahisi unavofikiria the best team in the world!
Kampiga ujerumani 10 kwa 8, na wamedraw 4times,,! Hao wengine ndio usiseme wamepigwa ka ndala fc

So huyo mreno wako akikutana na hao wa America ya kusini (Argentina) atakula nyingi tu!


Kumbuka kuwa olympic games Ureno kapangwa na Argentina U23
Friendly match ya Portugal vs Argentina ya mwisho ureno walishinda 1-0
 
Hivyo viwango hata ubelgiji yupo juu ya ureno na germany, lkn Germany ni bingwa wa dunia, Chile kampiga Argentina fainali mbili mfululizo lkn yuko chini. Tunachoangalia ni vikombe achana na hizo blaa blaa
Chile kampiga argentina copa america halafu huyo Chile kwenye world Cup alifikia wapi? Ubelgiji kuwa juu ya ureno ni sawa tu...huyo ureno ni kipofu ambaye siku zote haoni ila kabahatika kuona mwezi mwaka huu!!!

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom