Na akabeba kombe....ila wenger sasa......teh teh teh...arsenal msinipopoe.Cr7 Jana alikuwa kocha msaidizi
Angebewa Sisoko boraAngebebwa nani?
Hahahahaaa kama ni hivyo angebeba balooon dior zote zile alizobeba Messi.Jamaa kazaliwa na bahati ya ajabu
Messi ni very humble usimlinganishe na huyo kungwi mpenda sifa.Hata ingekuwa Messi ndo ambacho kingetokea....
Ureno imepenya kibahati bahati tu. Messi alikosa penalt kama alivyokosa Ronaldo, au umeshasahau kuwa naye alikosa? Bahati ya mtende. Ureno wameokota dodo chini ya mwarubainiRonardo ameibeba saana ureno .tangu mwanzo wa mashindano.Amefanya vizuri saana.huwezi ukamlinganisha na messi ambaye aliikosesha timu yake.na hana historia ya kuibeba timu yake kitaifa.CR7 anasistahili kuwa best player2016
Teh Teh wewe nae umerudia yale unayo yaita makosa ya vyombo vya habari maana umeshondwa hata kumtaja mfungaji....!Jana tumeshuhudia fainali ya Ulaya kati ya Ureno na Ufaransa ambapo Cristian Ronaldo alicheza kwa dakika takribani 24 na kuumia,hivyo akashindwa kuendelea na mchezo kwa bahati Ureno wakaibuka na ushindi wa goli moja na mpira kumalizika.
Cha ajabu mpira ulivyoisha ikawa tunaonyeshwa Ronaldo muda wote na kila afanyalo zaidi hata kuonyeshwa mfungaji bao pekee wa Ureno ambae angalau angestahili hata kuongelewa na kuonyeshwa zaidi lakini ikawa sasa baada ya mechi ni Ronaldo...Ronaldo tu wakati kacheza chini ya nusu saa na hakufanya kashkashi zozote mpaka anatoka.
Dah jamaa anabebwa aisee itakuwa kama David Beckam sasa looh!
Bahati gani team haijafungwa tournament nzima katafuteni sababu nyingineUreno imepenya kibahati bahati tu. Messi alikosa penalt kama alivyokosa Ronaldo, au umeshasahau kuwa naye alikosa? Bahati ya mtende. Ureno wameokota dodo chini ya mwarubaini