Ureno imepenya kibahati bahati tu. Messi alikosa penalt kama alivyokosa Ronaldo, au umeshasahau kuwa naye alikosa? Bahati ya mtende. Ureno wameokota dodo chini ya mwarubaini
hana lolote huyo na hao waingereza wake wanaompaisha
Huu mchezo hauitaji hasira
Ronardo ameibeba saana ureno .tangu mwanzo wa mashindano.Amefanya vizuri saana.huwezi ukamlinganisha na messi ambaye aliikosesha timu yake.na hana historia ya kuibeba timu yake kitaifa.CR7 anasistahili kuwa best player2016
Messi ni very humble usimlinganishe na huyo kungwi mpenda sifa.
Hukumsikiliza messi anavo tangaza ku quit wewe, hao walistaafu kwa kuwa walifungwa na Chile, hakuna jingne(lets say Chile iliwastaafisha)Nani kafanya hasira? Kustaafu kwa messi na mastraika wenzake ni kwa sababu ya uongozi wa soka nchini Argentina.. Argentina Federal of Association (AFA)
2016 kwa lipi? Nani kaipa ushindi portugal? Usiongee usivyovijua! Messi na ronaldo ni kama simba na swala
Hahahaha, hakuna la kumtetea Messi, nje ya Barcelona kafeli na kila siku huwa tuna waambia haezi fanya chochote bila kina kaka Iniesta, na sasa King Cr7 kasha shinda na timu yake ya taifa tena ilokuwa mbovu, ila Leofail amequitMimi nashangaa wanamfananisha na MFALME duh hawa watu vipi? Ronaldo kwanza hastahiki kupewa hicho cheo wanachokitamani hawa washabiku wake maana humu hapatokalika!
Messi=
Ronaldo=Samatta
Ana kombe la EURO mwenzio endelea kupiga kelelehana lolote huyo na hao waingereza wake wanaompaisha
Kombe hata Edmundo alibeba World Cup. Kuna namna fulani ya kuokota embe chini ya Mwarobaini, the way Chelsea walichukua UCL...ndio namna Ureno wameshinda Euro.Ana kombe la EURO mwenzio endelea kupiga kelele
Hahahaha, hakuna la kumtetea Messi, nje ya Barcelona kafeli na kila siku huwa tuna waambia haezi fanya chochote bila kina kaka Iniesta, na sasa King Cr7 kasha shinda na timu yake ya taifa tena ilokuwa mbovu, ila Leofail amequit
Siku Messi akichukua na Argentina , anaweza sema chchte ila kwa sasa naona hana jipya
Wewe chizi, kama kashindwa mfaransa unadhani Argentina wakafanya nini so far, acha ushabiki wa kij****aMessi hachezi mpira wake kwa kujishindanisha na fulani, unaflow kwa namna yake. Christian Ronaldo anapanua mbavu kutafuta kitu fulani. Credits zangu kwa Ronaldo ni fighting spirit, japo anaharibu kwa kutafuta sifa za kijinga. Messi is just a soccer genius, plays what comes in foot.
Nikukumbushe pia, Ureno ile iliyoshinda Euro ikicheza na Argentina ile iliyoshika nafasi ya pili Copa America, Ureno itaiaibisha Ulaya.
Mama Chiku na Family Detergent...poovu jiiiiingi! Huu mchezo bi mdogo, hauhitaji hasira! Hakuna haja ya matusi wala mapovu.Wewe chizi, kama kashindwa mfaransa unadhani Argentina wakafanya nini so far, acha ushabiki wa kij****a
Mwambie na Messi akaokoteKombe hata Edmundo alibeba World Cup. Kuna namna fulani ya kuokota embe chini ya Mwarobaini, the way Chelsea walichukua UCL...ndio namna Ureno wameshinda Euro.