Christian ministry registration

Christian ministry registration

George 01

New Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Wadau, nahitaji kusajili christian ministry lakini sijui hatua na njia za kupitia kutekeleza mpango huu. Naomba kama kuna anayejua anisaidie.
 
Ni huduma za maombezi? RITA au BRELA

Nasikia ni deal sana hii kitu mkuu, hivi ni kweli? Nina mpango pia huko mbeleni niwe Mtume
 
Ni huduma za maombezi? RITA au BRELA

Nasikia ni deal sana hii kitu mkuu, hivi ni kweli? Nina mpango pia huko mbeleni niwe Mtume

Teh teh teh teh!

We fanya bidii ! Siku hizi unabii dili kwelikweli! Halafu Ukiwa mtume! Lzm za mboga ziwe nyingi tu!

Cc Izz
 
Last edited by a moderator:
Wadau, nahitaji kusajili christian ministry lakini sijui hatua na njia za kupitia kutekeleza mpango huu. Naomba kama kuna anayejua anisaidie.

Unatakiwa uende mambo ya ndani kwa msajili wa vyama, lakini kwa jinsi ofisi hiyo na watendaji wake walivyo kinyume na chochote kichohusu ukristo, basi utasota sana kupata. Tumepeleka maombi ya kusajili kikundi chetu cha kusaidiana ktk mambo ya kijamii tangu mwaka jana mpaka leo bado hatujapewa na hapo ni pamoja na kutuambia tufute kila mahali panapotaja christianity ktk katiba. Kana kwamba haitoshi mpaka jina lilileta neno kisa limetolewa kwenye biblia. Na ukivuka viunzi vyote hivyo bado UTAKUMBANA Na kutokuwepo WINO WA KUCHAPA CHETI CHA USAJILI. TRUST ME HIYO NDIYO WIZARA YA MAMBO YA NDANI.
 
msikulupuke vijanana. We unataka kufungua ministry then unatafuta msaada jf! Kama unamaanisha omba mwongozo kwa Pastor wako. Ila kama unataka pakuponea njaa endelea,na nikushauri uwatafute freemason kila kitu kitaenda smoothly.
 
msikulupuke vijanana. We unataka kufungua ministry then unatafuta msaada jf! Kama unamaanisha omba mwongozo kwa Pastor wako. Ila kama unataka pakuponea njaa endelea,na nikushauri uwatafute freemason kila kitu kitaenda smoothly.

We mbona unamkatisha tamaa mtu anae tafuta rizki!
Watu wako vibaya uraiani! Bora arudi kwa bwana huenda mambo yakawa mazuri.
 
We mbona unamkatisha tamaa mtu anae tafuta rizki!
Watu wako vibaya uraiani! Bora arudi kwa bwana huenda mambo yakawa mazuri.

Hagahagahagah! Haya mbokaleo tumwache arudi kwa bwana,ila yeye anajua atamtumikia bwana au BWANA
 
Hagahagahagah! Haya mbokaleo tumwache arudi kwa bwana,ila yeye anajua atamtumikia bwana au BWANA

Sina hakika kama jamaa anataka kumtumikia bwana!
Hapa mi naona ni ulaji tu ndio anao tafuta!
Si umeona pale juu anasema kuwa ameskia huko ni dili kwekweli!
Teh teh teh teh! Lbd ana jengi lake anataka kulimalizia kwa kutumia zile ruzuku za kanisa!
 
Wadau, nahitaji kusajili christian ministry lakini sijui hatua na njia za kupitia kutekeleza mpango huu. Naomba kama kuna anayejua anisaidie.

Siku hizi huko kumejaa ma- anti christ/christian. Kuna watu wameomba usajili wa Kanisa kwa miaka 4 sasa lakini bado hawajakubaliwa, ila kuna watu nawafahamu wameomba usajili wa Msikiti haikuwachukua hata miezi 2. Ndiyo Tanzania hii, trust me.
 
Siku hizi huko kumejaa ma- anti christ/christian. Kuna watu wameomba usajili wa Kanisa kwa miaka 4 sasa lakini bado hawajakubaliwa, ila kuna watu nawafahamu wameomba usajili wa Msikiti haikuwachukua hata miezi 2. Ndiyo Tanzania hii, trust me.

Ndio ujue kwenye miskiti hakuna anti-christ!
Na kwa taarifa yako, miskiti sio lazima isajiliwe kama timu ya mpira!

Nyie hayo ma kkkkkkt yasio na hesabu huyaoni sio??
Ama kweli "wana macho lkn ni vipofu!!

Na hawa wa huku europe wanao uza makanisa yao utawaita nani!
Anti-queen!!
 
Wadau, nahitaji kusajili christian ministry lakini sijui hatua na njia za kupitia kutekeleza mpango huu. Naskia kuna ulaji mzuri huko. Naomba kama kuna anayejua anisaidie.

Mi nakushauri umtafute jamaa mmoja anaitwa MaxShimba au kwa jina jingine anaitw M Mkwawa huyu anakula saana pesa ya parokia! Ukimuona mtaani ni kama wale wabunge wa dododma!
Tumbo kuuubwa lkn kamsalaba kadooogo! Kakutafutia rizki tu!
Huenda mkaungana! Ktk kumpenda bwana wa madhabahu! Ndani ya wafarisayo wa wakolosai wa pale antiokia ya parokia ya kkkkkt dayosisi ya kusi!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi huko kumejaa ma- anti christ/christian. Kuna watu wameomba usajili wa Kanisa kwa miaka 4 sasa lakini bado hawajakubaliwa, ila kuna watu nawafahamu wameomba usajili wa Msikiti haikuwachukua hata miezi 2. Ndiyo Tanzania hii, trust me.
Wengi mnaanzisha hivi vitu kwa ajili ya kujitajirisha,mtu ataanzisha hii kitu hana hata baiskeli,baada ya mda mfupi anakuwa Tajiri wa kutupwa,lakini kwa waislamu ni tofauti,akianzisha hii kitu,anabaki na maisha yake yale yale toka mwanzo.Halafu katika uislamu msikiti hausajiliwi kama mali ya mtu fulani,unasajiliwa ukiwa tayari ni mali ya waumini wote,si ya mali ya mtu mmoja,kama mfanyavyo nyinyi.
 
Ndio ujue kwenye miskiti hakuna anti-christ!
Na kwa taarifa yako, miskiti sio lazima isajiliwe kama timu ya mpira!

Nyie hayo ma kkkkkkt yasio na hesabu huyaoni sio??
Ama kweli "wana macho lkn ni vipofu!!

Na hawa wa huku europe wanao uza makanisa yao utawaita nani!
Anti-queen!!
Tatizo makanisa yanakuwa ni miliki ya mtu binafsi,akiamua kuuza au kugeuza kwa matumizi mengine ni yeye binafsi.Hapa Tanzania yapo makanisa yamegeuzwa kwa matumizi mengine,baada ya mmiliki kukosa waumini.Lakini msikiti ukishajenga si mali yako tena,uliyejenga ni mali ya waislamu wote.
 
Back
Top Bottom