D dinaman Member Joined Jul 29, 2014 Posts 12 Reaction score 12 Nov 9, 2014 #1 N wish ningefika eneo la tukio maana nasikia kitu kimeshatua viwanjani, hakika siku hizi hapana uzemb kwenye kazi ya Mungu, songa mbeleeeeee
N wish ningefika eneo la tukio maana nasikia kitu kimeshatua viwanjani, hakika siku hizi hapana uzemb kwenye kazi ya Mungu, songa mbeleeeeee
T TANZANIA NAKUPENDA Senior Member Joined Mar 28, 2013 Posts 100 Reaction score 97 Nov 9, 2014 #2 dinaman said: N wish ningefika eneo la tukio maana nasikia kitu kimeshatua viwanjani, hakika siku hizi hapana uzemb kwenye kazi ya Mungu, songa mbeleeeeee Click to expand... Fanya upae. Mh. Lowassa anafika punde. Helicopter imeshatua. kweli Gwajima katisha! Mungu azidi kumuinua.......
dinaman said: N wish ningefika eneo la tukio maana nasikia kitu kimeshatua viwanjani, hakika siku hizi hapana uzemb kwenye kazi ya Mungu, songa mbeleeeeee Click to expand... Fanya upae. Mh. Lowassa anafika punde. Helicopter imeshatua. kweli Gwajima katisha! Mungu azidi kumuinua.......
Sayaka Senior Member Joined Aug 3, 2014 Posts 162 Reaction score 50 Nov 9, 2014 #3 Gwajima usisikie kelele za Mbwa akibweka maana haimaanishi kauma. Songa Mbele ongeza na ingine. Hongera sana Gwajima
Gwajima usisikie kelele za Mbwa akibweka maana haimaanishi kauma. Songa Mbele ongeza na ingine. Hongera sana Gwajima