ajali kama hizi sio za mara kwa mara lakini inaonekana ni tishio kwa sababu kuna mkubwa kafa, ila hizi za barabarani zinazotokea kila siku na kuua mamia ya watu ni za kawaida tu!!!!
Tumekuwa na upumbavu wa kuchukulia poa ajali na kanuni za usalama katika usafirishaji.
Hebu fikiria roli moja kati ya yale yanayobeba mamia ya watu kwenye kampeni likipata ajali, tutapotez maisha ya wangapi??
Nani alaumiwe?
Nani abebe dhamana?
Ni masomo machungu lakini tumefumba macho na kuziba masikio!!