Wadau kumbe hii chopa iliyomuondoa Deo filikunjombe ndio ile iliyomuangusha Nassari kule Arumeru.
Swali ni kwamba Chopa hii ilitengenezwa lini na ilipewa baraka za kuruka tena?
Mamlaka ya Anga ituambie.
Makamba alikodi hiyo ndege kama unavyojua wazee wa business as usual tayari kajamaa kamepiga dili
Hii chpoa hutumiwa na viongozi wa Chadema mara nyingi hata lowassa alishawahi kuitumia.
Wadau kumbe hii chopa iliyomuondoa Deo filikunjombe ndio ile iliyomuangusha Nassari kule Arumeru.
Swali ni kwamba Chopa hii ilitengenezwa lini na ilipewa baraka za kuruka tena?
Mamlaka ya Anga ituambie.
hii chopa ndiyo ile ile iliyo waangusha mawaziri wakati wanatembelea wahanga wa mafuriko dar. na ndiyo hii hii iliyomwangusha bosi mmoja huku kiongozi wa jeshi akijisifu kwa kuruka huku boss wake akimwacha ndani ya helicopta