Sijui labda team Lwasa watakujuvya
Wewe umejua kuna umoja wa mataifa umeshindwaje kujua kazi za umoja huyo? Eti chopa imekodiwa umoja wa mataifa? Nafikiri wapiga kura watahiniwe kwanza kabla hawajaruhusiwa kupiga kura.Chopa zilizuiliwa na mamlaka ya anga kwa usalama, je? chopa anayotumia lowasa ni yake au kakodi umoja wa mataifa, anayejua atujuze
Hivi Nyerere angekuwepo, hawa watorosha twiga,wauzamadawa ya kulevya, wauza pembe za ndovu na wezi wa escrow angewavumilia kweli?Ukifuatilia mijadala ya wafuasi wa lowasa na udhaifu hoja wanazotoa, utagundua wamekumbwa tu rapsharapsha..! Natamani angekuwepo Nyerere akapiga kura ya VETO, kama alivyofanya wakati 80% ya watanzania walipokataa vyama vingi.
Ukifuatilia mijadala ya wafuasi wa lowasa na udhaifu hoja wanazotoa, utagundua wamekumbwa tu rapsharapsha..! Natamani angekuwepo Nyerere akapiga kura ya VETO, kama alivyofanya wakati 80% ya watanzania walipokataa vyama vingi.
Chopa zilizuiliwa na mamlaka ya anga kwa usalama, je? chopa anayotumia lowasa ni yake au kakodi umoja wa mataifa, anayejua atujuze
Wewe umejua kuna umoja wa mataifa umeshindwaje kujua kazi za umoja huyo? Eti chopa imekodiwa umoja wa mataifa? Nafikiri wapiga kura watahiniwe kwanza kabla hawajaruhusiwa kupiga kura.
wafuasi wengi wa lowasa wako kama wamepagawa bila kuwa na vision ya kiongozi ambaye tunamhitaji kama taifa kwa sasa:bange: