Poa asanteOk mpendwa MUNGU akusimamie katika Ratiba Zako
naomba nikupm maana nahisi tutaendanaWanaboa awa viumbe dk2 ashamaliza hamna namna acha tuji chezeage tu......
Wanaume kazi tunayoBora hivo kuliko kupakwa shombo
Sijambo kapuku,eti wewe unashauri tuache selfie? Inabidi tutoe front camera ku disable selfie.dah kapuku hujambo?
Nimecheka sana kwa hii comment.Selfie haiepukiki...labda utushauri tupunguze.
nakutafuta sana bibieSijambo kapuku,eti wewe unashauri tuache selfie? Inabidi tutoe front camera ku disable selfie.
Sasa nifanyeje hapo.....!Utafia hapo.
Niko hapa,au wataka kunipa somo la kuboresha selfie?nakutafuta sana bibie
Ukisharidhika wewe basi...yeye akajiselfishe kama ndo kachagua hayo.Sasa nifanyeje hapo.....!
Kwani unafanya haka kamchezo mtani?Nimecheka sana kwa hii comment.

ukija pm kutapendeza zaidiNiko hapa,au wataka kunipa somo la kuboresha selfie?
Kufurahisha tu jukwaa mtani. Vidole mwenzake pete,sio hiyo kazi.Kwani unafanya haka kamchezo mtani?![]()
Teh....ukija pm kutapendeza zaidi
nini sasaTeh....
Nilipoona hiyo pm,kwanza nikawakumbuka prime ministers ninaowafahamu...kumbe hukumaanisha hivyo.nini sasa