Tarehe 28/10/2020 ni siku ya uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Hofu yangu ni mambo yanayoweza kujitokeza siku hiyo kuanzia saa1 jioni giza likiishaingia. Huenda kukawa na vurugu kubwa katika vituo vya kupigia kura maana kutakuwa na kunyang'anyana kura, kubadilisha matokeo, kubadilisha mabox ya kura, kutokukubali kusign matokeo, kukataa kutoa nakala za matokeo kwa mawakala wa vyama ikiwa Ni pamoja na kutangaza matokeo ndivyo sivyo.
Nachukua nafasi hii kuwaomba sana viongozi wote wa madhehebu yote ya Dini na wale wanaoamini nguvu za kimila muandaeza ibada za kuliombea Taifa siku hiyo ipite kwa amani maana hapo ndipo mtihani wa amani ya nchi hii ulipo. Huenda hata siku 2 baadae.
Najua mchana uovu utafichwa kwa kiasi kikubwa, Labda tu u naweza usione jina lako katika daftari la waipiga kura. Kama hauko katk data bank ya taasisi fulani, ukikuta hivo, ondoka tu maana hutaweza kupiga kura!
Hofu yangu ni mambo yanayoweza kujitokeza siku hiyo kuanzia saa1 jioni giza likiishaingia. Huenda kukawa na vurugu kubwa katika vituo vya kupigia kura maana kutakuwa na kunyang'anyana kura, kubadilisha matokeo, kubadilisha mabox ya kura, kutokukubali kusign matokeo, kukataa kutoa nakala za matokeo kwa mawakala wa vyama ikiwa Ni pamoja na kutangaza matokeo ndivyo sivyo.
Nachukua nafasi hii kuwaomba sana viongozi wote wa madhehebu yote ya Dini na wale wanaoamini nguvu za kimila muandaeza ibada za kuliombea Taifa siku hiyo ipite kwa amani maana hapo ndipo mtihani wa amani ya nchi hii ulipo. Huenda hata siku 2 baadae.
Najua mchana uovu utafichwa kwa kiasi kikubwa, Labda tu u naweza usione jina lako katika daftari la waipiga kura. Kama hauko katk data bank ya taasisi fulani, ukikuta hivo, ondoka tu maana hutaweza kupiga kura!