MoonBoy
Senior Member
- Jul 15, 2016
- 195
- 133
FUNDI CHEREHANI
Sehemu Ya 24
Mtunzi..... MoonBoy
Ilipoishia Jana →↓↓
"waaaooo fundi mambo"
"poa nambie jirani"
Nilikimbilia kusema jirani ili mke wangu asije akaanza kuhisi vibaya,
"safi tu"
Kimya kilitawala huku mie nikimuangalia mke wangu kwa jicho la chinichini hivu,
"samaani naweza pata namba yako"
Aiseee nilitoa jicho hilo, maana kaomba namba mbele ya mke wangu, Aiseee nilikua nakuna pua tu, huku nikitegea mneno utakaotoka kwa mke wangu.....
"namba"
"eee Ndio"
"okeeeee,"
Sasa sikutaka kuuonyesha woga wangu mbele yake.....
Nikaanza kumtajia huku yeye akiiandika katika simu yake
"ni 0714419"
Kabla sijaimaliza mke wangu akamuuliza jesca kua
"hebu ngoja kwanza...... Samahani we dada, hii namba ya mume wangu waitaka kwasababu gani... Maana naona mwatajiana tu, afu sielewi"
ENDELEA..........
Jesca alionekana kuingiwa na woga baada ya kusikia neno mume wangu, na hapo ndipo alipojua kua huyu ndio mke wangu mie, Sasa jesca alikua akisita hata kuongea mana nilihisi ataropoka kijinga japo hata akiropoka haitokua kweli,
"huyu dada ni yule muuza duka la nguo pale jirani, au umemsahau mke wangu"
"kakini baba chidi sijakuuliza wewe"
"sawaa nineona nilijibu swali lake ili niwahi nyumbani kupumzika"
"Enhe kwahio anaichukua namba yako ya nini"
"namba yangu anaichukua kwa dhumuni la yeye au mimi kumuomba nwenziwe fasheni au staili"
"nini?? Mbona sijakuelewa hapo"
"yaani namaanisha hivi, yeye akipata fasheni mpya katika duka lake, aniambie, na mie pia nikipata fasheni mpya aniambie"
"ok sawa, lakini nyie si mpo jirani, sasa namba namba za nini sasa"
Sasa nilipoona maswali hayapungui, nikatumia mfumo dume kama mume maana alikua hanielewi kabisa...
"mama chidi staki uniharibie kazi, naomba uniache, maana nishakwambia nipo kikazi zaidi lakini hunielewi"
"ok sawa umeshinda"
Mke wangu alionekana kuanza kununa huku akiangalia pembeni, Sasa ili asiendelee kuhisi vibaya kuhusu sisi, ilibidi tuendelee kutajiana namba zile ambazo tuliishia njiani,
"ok mamy tuendelee, ni 0714419487"
"ok asante"
"poa"
Yule jesca alikua hana raha toka aanze kumjua mke wangu, Tuliachana hapo barabarani kila mtu akaelekea kivyake, wakati huo mke wangu kageuka kua bubu ghafla, niliona sio poa kumsemesha huku barabarani, hivyo nilitaka tufike nyumbani kwanza ndio tuanze kuulizana...
Mida hio ilikua ni mida ya saa 12 kasoro hivi, tulishafika nyumbani muda huo mke wangu kakunja ndita, anajifanya kauzu. Nikaona hakuna maji kabisa, hivyo nikalichukua jukumu la kwenda kuteka maji bombani, kulee mashambanii, nilichukua ndoo mbili za haraka kisha nikateremka kirongoni, huku nikijisemea tu maneno yangu kuhusu mke wangu, maana mama chidi anapenda maandamano sana, yani hataki kabisa kuniona na mwanamke, Sasa nilipofika korongoni, kama kawaida nilikutana na ashura rafiki wa mwai, yule ambae ndio tulipasua ndoo siku zile,
"waaoo dikii mambo"
"poa tu"
"afu nina maongezi na wewe diki"
"marefu sana"
"wala tu, kwani vp una haraka sana"
"yes kitu kama hicho maana nahitaji kurudia tena"
"mmmhh Kiukweli hadi naona wivu kwa unavyompenda mke wako, mpaka natamani ningekua mimi"
"mmmhh usijali utapata mwanaume alio kama mimi"
"mmmhh sidhani labda wewe"
"mmmhhh sihitaji mke tena"
Sasa mtoto ashushu alikua akianza kufikicha vidole vyake huku akiangalia chini, kwa kawaida ya sisi wanaume tunaweza kulitambua hilo kabla yao, nikaona huu muda sio sahihi kwa mpangilio huu..
"sasa ebu sema basi hilo jambo lako"
Tulisogea kwa pembeni kidogo ambako kulikuepo na mti, maana mwanzo tulisimama barabarani,
"Eti diki, kwani lile ombi la nwai ulishamkubalia"
Ashura aliuliza hivyo huku akiwa kama anaona aibu flani hivi,... Si unajua mwenyewe staili kama hizo na maneno hayo demu anatakiwa awe katika hali gani,
"aaaaa Kiukweli bado na sitarajii kumkubalia"
"yes, safi sana.... "
Ashura alionekana kutabasamu baada ya kusikia kua sitomkubalia mwai kua mpenzi wangu,
"kwanini unafurahi kuskia hivyo"
"diki, ivi hujui kua mie pia nakupenda, dikiii, plz naomba unikubalie mimi"
"lakini ashura, mie nina mke na sipendi nimsaliti"
"hilo mi nalijua, lakini hapa kijijini mie sijaona wa kunikuna kama wewe diki"
"tafadhali sana ashura, hebu punguza ukali wa maneno yako ayo"
Nilimuambia hivyo kisha nikaanza kuondoka taratibu,
"diki, sasa unaenda wapi jamani"
"naomba uniache shuu, mi nazidi kuchelewa"
Nilimgomea kusimama, huku nikienda kuteka maji, maana nilikutana nae wakati nakwenda mtoni, Nilichota maji kisha nikaondoka zangu huku shuu akiniangalia tu,....... Unajua hawa watoto ni Wakali kinoma, ila sasa nahofia mke wangu na pia sipendi kumsaliti kabisa, maana nampenda na yeye pia ananipenda,..... Nilifika nyumbani nilimkuta mke wangu kajilaza kwenye sofa huku akiwa bado kanuna ile mbaya, sikumsemesha kitu, nilipita na kwenda kuziweka ndoo zile kisha nikachukua nyingine na kurudi mtoni,.... Sikutaka kuchelewa, niliteka maji kisha nikawa naondoka, lakini nikiwa naondoka niliskia kuitwa nyuma, wakati huo kagiza kalishaingia na kuanza kutanda, hakua mwingine bali alikua ni Ashura au shuu,
"ashura, mbona huelewi mama"
"diki, ivi mi sina kum*"
"aaahh sasa ni maneno gani ayo unaongea shuu"
"nijibu kwanza, mimi sina kum*"
"unayo"
"sasa kwanini unanitesa mtoto wa mwanaume mwenzio lakini"
"tatizo nina mke, tena wa ndoa"
"najua, lakini sio kikwazo cha kutokua na mimi diki"
"kwahio we unataka nimsaliti mke wangu"
"sio sana, ila ni kwaajili yangu diki"
"ok nitakujibu"
Nilimuambia hivyo kisha nikawa naondoka zangu..
"kwahio lini sasa"
"nitakujibu siku yeyote nikiamua"
"lakini diki, jua nakupenda diki wangu"
Sikutaka kumsikiliza wala nini, maana hawa watoto wa kike ukiwaendekeza kimapenzi watakusumbua sana......
Basi nikiwa kama mume wa mtu, sikua nataka makuu ya kumsaliti mke wangu, ila kitu anachoniuzi nacho mke wangu ni kuwa na wivu wa kupitiliza, maana hata nikisimama na mteja, yeye kwake ni kero.
Basi Nilifika nyumbani nikatua maji kisha nikaanza kuwasha jiko, maana najua hicho ni kiburi chake tu ila njaa anayo, niliwasha jiko kisha nikaanza kupika kama kawaida yangu,.......
Baada ya kama nusu saa hivi, nikaivisha kila kitu, akiwa yeye bado kaketi katika kochi, Nilimuacha na kiburi chake,... Nikala chakula kisha nikaenda zangu kulala, huku chakula chake kikiwa katika hotpot,
Nilikwenda kulala zangu huku nikiwa naendelea kufungua mambo ya Facebook na ile simu yangu ya iPhone 7, wakati huo nimeshiba ndiii, lakini nafsi ilinisuta huku nikiyakumbuka maneno ya bibi kua
"mkeo akisusa au kununa, nawe usimnunie, yule ni mwanamke tu, anafanya kile anachojiskia yeye"
Niliamka kitandani na kumfuata pale sebureni ambapo ndipo alipo,
"sasa mama chidi, ukikaa hivyo kimya kimya unamaanisha nini labda"
Hakutaka kujibu, tena ndio kwanza kageuzia shingo pembeni,
Nilienda pale kwenye sofa na kumuamsha kwa nguvu kisha nikaongea nae
"sikia mke wangu, hapo ulipo una njaa, na sio wewe tu, bali unamtesa na chidi wetu huko ndani, kumbuka we ukiskia njaa na yeye pia hivyo hivyo, sasa kwanini hulitekelezi hilo"
"si uniache, kwani yupo tumboni mwako"
Sikutaka tena kumbembeleza, bali nilimsogezea chakula na kumuambia kua
"sawa chakula hicho hapo, utakula kwa muda wako, mie naenda kulala"
Niliondoka huku nikiwa nimekasirika, kwa kujibiwa ujinga na wakati ni faida yake,..
Ilipofika mida ya saa nane usiku nilishtuka usingizini na kujiuliza kuusu huyu mtu, aisee alikua ananiumiza kichwa sana.. Ilibidi niamke tena na kuelekea sebureni... Nilimkuta kala kwenye sofa..
Nilipoangalua hotpot la chakula, nilikuta limeliwa, nikaona afadhali ata amekula, maana nilijua ana njaa ila kiburi tu ndio kinamsumbua... Basi nilimbeba mke wangu na kwenda kumlaza kitandani, kidogo afadhali nilikua na furaha ya kua keshakula chakula, maana wasiwasi wangu ulikua ni kwenye kula tu....
Muda huo siku nikipata usingizi kabisa, mida za saa nane, ilibidi nivute simu yangu na kuanza kuchati usiku huo maana hakukua na usingizi kabisa,
Sasa ghafla mke wangu akastuka kutokana na milio ya message iliokua ikiingia,
"mmh naona unachati nao tu si ndio"
Aliuliza mke wangu ila mie nilibaki kumuangalia tu, Aliamka na kuelekea uwani, huku mie nikaizima simu kisha nikajifunika shuka na kuutafuta usingizi... Mke wangu alirudi na kuendelea kulala,.. Nilipogeuka hivi, nilikuta kapunguza nguo, yaani hapo nilikua naona kanga moja na chupi kwa mbaali, hisia ziliniamka na kuona kwamba hii chansi siiachi, ili nipate njia ya kumbembeleza... Nilianza kumtomasa kiuno chake kilaini, alikua katulia tu, kana kwamba ni mtu anaesema wacha nione atafanya nini... Maana wazo langu najua ataanza kukataa kwakua na wivu wake wa kijinga,
Sasa Nikawa naivuta ile kanga taaratibu, ili abakiwe na chupi tu, mke wangu ni mzuri na anavutia sana.... Wakati huo juma dede kasima mpaka inauma.. Kweli mke wangu hakutaka kujivunga,
"mama chidi, leo nataka nikupe dudu"
Niliongea hayo huku nikiimalizia kuivua ile kanga, na kuitupa chini, mke wangu alikua kavaa uchupi mweusii ulionisisimua hadi nikamgeuza ili tuangaliane, nilipomgeuza tu, mke wangu akaniwekea mguu juu, kumaanisha yupo tayari kulipokea dudu yangu.... Tena alinirukia na denda huku akitoa milio ilionifanya nivue kabisa boxer yangu,.... Nikawa kama nilivozaliwa,... Mke wangu alipoiona alifurahi huku akisema
"waaaooo, nimeimisi kuiona mpaka kuitumia, ila najua sitoimudu kama zamani"
Aliongea hivyo huku akiwa kavuta tabasam neneeee,
"kwanini usiimudu mamy"
"mmmhh kipindi kike ulikua unaiingiza yote bila hata huruma, ila kwa sasa nina mtoto tumboni, So please naomba uingize nusu tu"
"apana nikiingiza nusu hutonieshim"
"buanaaa diki, kama niivo basi mi staki"
"ok basi nimekuelewa, but je ikiniponyoka bahati mbaya?"
"ikikuponyoka, nitajua jinsi ya kuizuia, ili tu isimguse mtoto wetu"
Itaendelea..... after Tomorrow
Sehemu Ya 24
Mtunzi..... MoonBoy
Ilipoishia Jana →↓↓
"waaaooo fundi mambo"
"poa nambie jirani"
Nilikimbilia kusema jirani ili mke wangu asije akaanza kuhisi vibaya,
"safi tu"
Kimya kilitawala huku mie nikimuangalia mke wangu kwa jicho la chinichini hivu,
"samaani naweza pata namba yako"
Aiseee nilitoa jicho hilo, maana kaomba namba mbele ya mke wangu, Aiseee nilikua nakuna pua tu, huku nikitegea mneno utakaotoka kwa mke wangu.....
"namba"
"eee Ndio"
"okeeeee,"
Sasa sikutaka kuuonyesha woga wangu mbele yake.....
Nikaanza kumtajia huku yeye akiiandika katika simu yake
"ni 0714419"
Kabla sijaimaliza mke wangu akamuuliza jesca kua
"hebu ngoja kwanza...... Samahani we dada, hii namba ya mume wangu waitaka kwasababu gani... Maana naona mwatajiana tu, afu sielewi"
ENDELEA..........
Jesca alionekana kuingiwa na woga baada ya kusikia neno mume wangu, na hapo ndipo alipojua kua huyu ndio mke wangu mie, Sasa jesca alikua akisita hata kuongea mana nilihisi ataropoka kijinga japo hata akiropoka haitokua kweli,
"huyu dada ni yule muuza duka la nguo pale jirani, au umemsahau mke wangu"
"kakini baba chidi sijakuuliza wewe"
"sawaa nineona nilijibu swali lake ili niwahi nyumbani kupumzika"
"Enhe kwahio anaichukua namba yako ya nini"
"namba yangu anaichukua kwa dhumuni la yeye au mimi kumuomba nwenziwe fasheni au staili"
"nini?? Mbona sijakuelewa hapo"
"yaani namaanisha hivi, yeye akipata fasheni mpya katika duka lake, aniambie, na mie pia nikipata fasheni mpya aniambie"
"ok sawa, lakini nyie si mpo jirani, sasa namba namba za nini sasa"
Sasa nilipoona maswali hayapungui, nikatumia mfumo dume kama mume maana alikua hanielewi kabisa...
"mama chidi staki uniharibie kazi, naomba uniache, maana nishakwambia nipo kikazi zaidi lakini hunielewi"
"ok sawa umeshinda"
Mke wangu alionekana kuanza kununa huku akiangalia pembeni, Sasa ili asiendelee kuhisi vibaya kuhusu sisi, ilibidi tuendelee kutajiana namba zile ambazo tuliishia njiani,
"ok mamy tuendelee, ni 0714419487"
"ok asante"
"poa"
Yule jesca alikua hana raha toka aanze kumjua mke wangu, Tuliachana hapo barabarani kila mtu akaelekea kivyake, wakati huo mke wangu kageuka kua bubu ghafla, niliona sio poa kumsemesha huku barabarani, hivyo nilitaka tufike nyumbani kwanza ndio tuanze kuulizana...
Mida hio ilikua ni mida ya saa 12 kasoro hivi, tulishafika nyumbani muda huo mke wangu kakunja ndita, anajifanya kauzu. Nikaona hakuna maji kabisa, hivyo nikalichukua jukumu la kwenda kuteka maji bombani, kulee mashambanii, nilichukua ndoo mbili za haraka kisha nikateremka kirongoni, huku nikijisemea tu maneno yangu kuhusu mke wangu, maana mama chidi anapenda maandamano sana, yani hataki kabisa kuniona na mwanamke, Sasa nilipofika korongoni, kama kawaida nilikutana na ashura rafiki wa mwai, yule ambae ndio tulipasua ndoo siku zile,
"waaoo dikii mambo"
"poa tu"
"afu nina maongezi na wewe diki"
"marefu sana"
"wala tu, kwani vp una haraka sana"
"yes kitu kama hicho maana nahitaji kurudia tena"
"mmmhh Kiukweli hadi naona wivu kwa unavyompenda mke wako, mpaka natamani ningekua mimi"
"mmmhh usijali utapata mwanaume alio kama mimi"
"mmmhh sidhani labda wewe"
"mmmhhh sihitaji mke tena"
Sasa mtoto ashushu alikua akianza kufikicha vidole vyake huku akiangalia chini, kwa kawaida ya sisi wanaume tunaweza kulitambua hilo kabla yao, nikaona huu muda sio sahihi kwa mpangilio huu..
"sasa ebu sema basi hilo jambo lako"
Tulisogea kwa pembeni kidogo ambako kulikuepo na mti, maana mwanzo tulisimama barabarani,
"Eti diki, kwani lile ombi la nwai ulishamkubalia"
Ashura aliuliza hivyo huku akiwa kama anaona aibu flani hivi,... Si unajua mwenyewe staili kama hizo na maneno hayo demu anatakiwa awe katika hali gani,
"aaaaa Kiukweli bado na sitarajii kumkubalia"
"yes, safi sana.... "
Ashura alionekana kutabasamu baada ya kusikia kua sitomkubalia mwai kua mpenzi wangu,
"kwanini unafurahi kuskia hivyo"
"diki, ivi hujui kua mie pia nakupenda, dikiii, plz naomba unikubalie mimi"
"lakini ashura, mie nina mke na sipendi nimsaliti"
"hilo mi nalijua, lakini hapa kijijini mie sijaona wa kunikuna kama wewe diki"
"tafadhali sana ashura, hebu punguza ukali wa maneno yako ayo"
Nilimuambia hivyo kisha nikaanza kuondoka taratibu,
"diki, sasa unaenda wapi jamani"
"naomba uniache shuu, mi nazidi kuchelewa"
Nilimgomea kusimama, huku nikienda kuteka maji, maana nilikutana nae wakati nakwenda mtoni, Nilichota maji kisha nikaondoka zangu huku shuu akiniangalia tu,....... Unajua hawa watoto ni Wakali kinoma, ila sasa nahofia mke wangu na pia sipendi kumsaliti kabisa, maana nampenda na yeye pia ananipenda,..... Nilifika nyumbani nilimkuta mke wangu kajilaza kwenye sofa huku akiwa bado kanuna ile mbaya, sikumsemesha kitu, nilipita na kwenda kuziweka ndoo zile kisha nikachukua nyingine na kurudi mtoni,.... Sikutaka kuchelewa, niliteka maji kisha nikawa naondoka, lakini nikiwa naondoka niliskia kuitwa nyuma, wakati huo kagiza kalishaingia na kuanza kutanda, hakua mwingine bali alikua ni Ashura au shuu,
"ashura, mbona huelewi mama"
"diki, ivi mi sina kum*"
"aaahh sasa ni maneno gani ayo unaongea shuu"
"nijibu kwanza, mimi sina kum*"
"unayo"
"sasa kwanini unanitesa mtoto wa mwanaume mwenzio lakini"
"tatizo nina mke, tena wa ndoa"
"najua, lakini sio kikwazo cha kutokua na mimi diki"
"kwahio we unataka nimsaliti mke wangu"
"sio sana, ila ni kwaajili yangu diki"
"ok nitakujibu"
Nilimuambia hivyo kisha nikawa naondoka zangu..
"kwahio lini sasa"
"nitakujibu siku yeyote nikiamua"
"lakini diki, jua nakupenda diki wangu"
Sikutaka kumsikiliza wala nini, maana hawa watoto wa kike ukiwaendekeza kimapenzi watakusumbua sana......
Basi nikiwa kama mume wa mtu, sikua nataka makuu ya kumsaliti mke wangu, ila kitu anachoniuzi nacho mke wangu ni kuwa na wivu wa kupitiliza, maana hata nikisimama na mteja, yeye kwake ni kero.
Basi Nilifika nyumbani nikatua maji kisha nikaanza kuwasha jiko, maana najua hicho ni kiburi chake tu ila njaa anayo, niliwasha jiko kisha nikaanza kupika kama kawaida yangu,.......
Baada ya kama nusu saa hivi, nikaivisha kila kitu, akiwa yeye bado kaketi katika kochi, Nilimuacha na kiburi chake,... Nikala chakula kisha nikaenda zangu kulala, huku chakula chake kikiwa katika hotpot,
Nilikwenda kulala zangu huku nikiwa naendelea kufungua mambo ya Facebook na ile simu yangu ya iPhone 7, wakati huo nimeshiba ndiii, lakini nafsi ilinisuta huku nikiyakumbuka maneno ya bibi kua
"mkeo akisusa au kununa, nawe usimnunie, yule ni mwanamke tu, anafanya kile anachojiskia yeye"
Niliamka kitandani na kumfuata pale sebureni ambapo ndipo alipo,
"sasa mama chidi, ukikaa hivyo kimya kimya unamaanisha nini labda"
Hakutaka kujibu, tena ndio kwanza kageuzia shingo pembeni,
Nilienda pale kwenye sofa na kumuamsha kwa nguvu kisha nikaongea nae
"sikia mke wangu, hapo ulipo una njaa, na sio wewe tu, bali unamtesa na chidi wetu huko ndani, kumbuka we ukiskia njaa na yeye pia hivyo hivyo, sasa kwanini hulitekelezi hilo"
"si uniache, kwani yupo tumboni mwako"
Sikutaka tena kumbembeleza, bali nilimsogezea chakula na kumuambia kua
"sawa chakula hicho hapo, utakula kwa muda wako, mie naenda kulala"
Niliondoka huku nikiwa nimekasirika, kwa kujibiwa ujinga na wakati ni faida yake,..
Ilipofika mida ya saa nane usiku nilishtuka usingizini na kujiuliza kuusu huyu mtu, aisee alikua ananiumiza kichwa sana.. Ilibidi niamke tena na kuelekea sebureni... Nilimkuta kala kwenye sofa..
Nilipoangalua hotpot la chakula, nilikuta limeliwa, nikaona afadhali ata amekula, maana nilijua ana njaa ila kiburi tu ndio kinamsumbua... Basi nilimbeba mke wangu na kwenda kumlaza kitandani, kidogo afadhali nilikua na furaha ya kua keshakula chakula, maana wasiwasi wangu ulikua ni kwenye kula tu....
Muda huo siku nikipata usingizi kabisa, mida za saa nane, ilibidi nivute simu yangu na kuanza kuchati usiku huo maana hakukua na usingizi kabisa,
Sasa ghafla mke wangu akastuka kutokana na milio ya message iliokua ikiingia,
"mmh naona unachati nao tu si ndio"
Aliuliza mke wangu ila mie nilibaki kumuangalia tu, Aliamka na kuelekea uwani, huku mie nikaizima simu kisha nikajifunika shuka na kuutafuta usingizi... Mke wangu alirudi na kuendelea kulala,.. Nilipogeuka hivi, nilikuta kapunguza nguo, yaani hapo nilikua naona kanga moja na chupi kwa mbaali, hisia ziliniamka na kuona kwamba hii chansi siiachi, ili nipate njia ya kumbembeleza... Nilianza kumtomasa kiuno chake kilaini, alikua katulia tu, kana kwamba ni mtu anaesema wacha nione atafanya nini... Maana wazo langu najua ataanza kukataa kwakua na wivu wake wa kijinga,
Sasa Nikawa naivuta ile kanga taaratibu, ili abakiwe na chupi tu, mke wangu ni mzuri na anavutia sana.... Wakati huo juma dede kasima mpaka inauma.. Kweli mke wangu hakutaka kujivunga,
"mama chidi, leo nataka nikupe dudu"
Niliongea hayo huku nikiimalizia kuivua ile kanga, na kuitupa chini, mke wangu alikua kavaa uchupi mweusii ulionisisimua hadi nikamgeuza ili tuangaliane, nilipomgeuza tu, mke wangu akaniwekea mguu juu, kumaanisha yupo tayari kulipokea dudu yangu.... Tena alinirukia na denda huku akitoa milio ilionifanya nivue kabisa boxer yangu,.... Nikawa kama nilivozaliwa,... Mke wangu alipoiona alifurahi huku akisema
"waaaooo, nimeimisi kuiona mpaka kuitumia, ila najua sitoimudu kama zamani"
Aliongea hivyo huku akiwa kavuta tabasam neneeee,
"kwanini usiimudu mamy"
"mmmhh kipindi kike ulikua unaiingiza yote bila hata huruma, ila kwa sasa nina mtoto tumboni, So please naomba uingize nusu tu"
"apana nikiingiza nusu hutonieshim"
"buanaaa diki, kama niivo basi mi staki"
"ok basi nimekuelewa, but je ikiniponyoka bahati mbaya?"
"ikikuponyoka, nitajua jinsi ya kuizuia, ili tu isimguse mtoto wetu"
Itaendelea..... after Tomorrow