Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Naomba nikuulize msomaji huwa una kabiliana vipi na hali Kama hii.
Iko hivi, wakati tunasoma chuo kikuu Kuna wadau inaweza pita ata miezi 3 hamjawahi salimiana sio mna ubaya la hasha.
Wengine ilifikia Hadi unawaomba msaada wa kudiscuss wanagoma kusolve bla bla nyingi. Kiufupi niliishi nao Kama jamii Ila msaada ilikuwa zero, mda mwingine unapata C wao A ila hawana Cha kukushirikisha kimasomo pale uombapo msaada wa kimasomo.
Mungu si athuman, chuo kikaisha, nimekosa mtaani 2 yrs nikapata ajira. Mshahara mnono kiasi, sasa wale jamaa bado wapo kitaa wakapata taarifa mwenzetu amepata ajira mara.
Wanaanzisha lawama, umetusahau, hauko Kama awali, ututafuti tena, ujibu text zetu.
Nashindwa kuwajibu maana waliniona sijui kusolve simbi wakati huo ata leo siwezi jishugulisha nao.
Kiufupi nimeamini ridhiki Kama ni yako Ni yako tu itakuja tu ata kwa kuchelewa.
Iko hivi, wakati tunasoma chuo kikuu Kuna wadau inaweza pita ata miezi 3 hamjawahi salimiana sio mna ubaya la hasha.
Wengine ilifikia Hadi unawaomba msaada wa kudiscuss wanagoma kusolve bla bla nyingi. Kiufupi niliishi nao Kama jamii Ila msaada ilikuwa zero, mda mwingine unapata C wao A ila hawana Cha kukushirikisha kimasomo pale uombapo msaada wa kimasomo.
Mungu si athuman, chuo kikaisha, nimekosa mtaani 2 yrs nikapata ajira. Mshahara mnono kiasi, sasa wale jamaa bado wapo kitaa wakapata taarifa mwenzetu amepata ajira mara.
Wanaanzisha lawama, umetusahau, hauko Kama awali, ututafuti tena, ujibu text zetu.
Nashindwa kuwajibu maana waliniona sijui kusolve simbi wakati huo ata leo siwezi jishugulisha nao.
Kiufupi nimeamini ridhiki Kama ni yako Ni yako tu itakuja tu ata kwa kuchelewa.