Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,jamii ndio kioo cha tabia za huyo mjomba wetu.Elimu ni zaidi ya wito maana hitaji mtu mwenye nidhamu,juhudi na maarifa.Kama tu Mjomba ana ujasiri wa kulala Kwa mwanaume akiwa kidato cha 3 basi akifika cha 4 atahamia kabisa.Akibahatika kufika kidato cha 5 japo Kwa BRN atongeza idadi ya wanaume Kwa hiyo atakua na shift za usiku na endapo atafika chuo night clubs zote na baa maarufu atazijua.Ila cha kusikitisha afya yake haitakua salama tena akimaliza chuo mtatumia mda mwingi kumuuguza na mkipata nauli mtampeleka India ili abadilshiwe damu.Sasa kabla hayo yote hayajatokea nakushauri mtoe jela,mshauri vizuri,kua karibu nae hunda akabadilika.Huwezi amini huko jela yuko anajifunza mapya.