Chizi na mata....k..o

Chizi na mata....k..o

Chimbuvu

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2012
Posts
4,401
Reaction score
2,341
Mlevi alienda kulala dampo,Chizi naye akaenda hukohuko, alipofika dampo akakuta mlevi kalala matak....o wazi,chizi akaanza kuyashikashika huku akisema,'kweli duniani kuna watu matajiri haya matak......o si mazima kabisa wao wameyatupa'
 
Christmas vp mkuu?ndyofu hazikukupelekesha?
Ilikuwa poa siunajua nilikuwa bado namalizia doz hivyo ndofu zilinikwepa ila mwaka mpya kama kawa lazma ziombe kuwa Fanta kwa namna zitakavyoshambuliwa.
TA vip huibuki?
 
TA siibuki mkuu nimebanana kidogo ingawa nilitamani sana kuwa nanyi,dahh we acha tu yaani
 
Mlevi alienda kulala dampo,Chizi naye akaenda hukohuko, alipofika dampo akakuta mlevi kalala matak....o wazi,chizi akaanza kuyashikashika huku akisema,'kweli duniani kuna watu matajiri haya matak......o si mazima kabisa wao wameyatupa'

Hahahahahhahahahahahaaaaa, uwiiiiiiiiiiiiiii! Yarabi toba, khaa! Mbavu zangu mie!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mlevi alienda kulala dampo,Chizi naye akaenda hukohuko, alipofika dampo akakuta mlevi kalala matak....o wazi,chizi akaanza kuyashikashika huku akisema,'kweli duniani kuna watu matajiri haya matak......o si mazima kabisa wao wameyatupa'

Hurumia mbavu zangu, maana umenifanya nicheke pasipo kutarajia, kwa kweli u made my day Chimbuvu!
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!
 
Mlevi alienda kulala dampo,Chizi naye akaenda hukohuko, alipofika dampo akakuta mlevi kalala matak....o wazi,chizi akaanza kuyashikashika huku akisema,'kweli duniani kuna watu matajiri haya matak......o si mazima kabisa wao wameyatupa'


Heshima yako mkuu CHIMBUVU, loooh, mambo ya kupigilia mataputapu hayo.
 
Back
Top Bottom