Haya bana natumai kijana kawasikia wote na anafanyia kazi ushauri wenu (kama bado ni mwana jamii mwenzetu.)
Mtajua wenyewe kwanza mimi huko sipo mimikatika computer najua mouse keybrd,nakufungu nakuingi jamii basi!hivyo mkiongea vitu vyakitaalamu mimi naona sawa!
Thanksheko mkuu tupo pamoja mkuu hope msg imemfikia ss kazi kwake
Wiki jana huyu jamaa alitangaza rasmi kubwaga manyanga yahani kuhama kabisa JF.Hata tukimjadili haitasaidia sana kwani haumo tena humu
Ila tumkaribishe tena
Poleni mtaalam wetu
Wiki jana huyu jamaa alitangaza rasmi kubwaga manyanga yahani kuhama kabisa JF.Hata tukimjadili haitasaidia sana kwani haumo tena humu
Ila tumkaribishe tena
Poleni mtaalam wetu
Acha nimfate facebook.
nawaomba mnielekeze hatua kwa hatua jinsi ya kuchakachua modem ili nipate unafuu,mada za mwanzoni kuhusu moderm sikuwepo kwa sasa bado mgeni,tafadhali nielimisheni maana somo nalipenda ingawa bado mchanga wa mambo haya.
nawaomba mnielekeze hatua kwa hatua jinsi ya kuchakachua modem ili nipate unafuu,mada za mwanzoni kuhusu moderm sikuwepo kwa sasa bado mgeni,tafadhali nielimisheni maana somo nalipenda ingawa bado mchanga wa mambo haya.
mwambie tunamiss sana uku ila ninahofu utomkuta kwani yupo bze na new software yakuwaunganisha wana JF wote