Chips ni Mboga au Chakula? Soma hapa

Chips ni Mboga au Chakula? Soma hapa

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Ukienda Mwanza kwa Wasukuma wanatumia chips mayai kama mboga ya kulia gali. Yaani anakula ugali kwa kutumia chips mayai kama mboga. Wakati watu wa Dar es Salaam wanatumia chips kama chakula kamili sisi sijui ndio ku make diet yaani watu wanashindia mboga kama chakula. Ndio maana jamaa wa Mwanza wako fit kuliko wabongo.

Mwenye kujua zaidi atujuze.
 
Hiyo diet ya kula chips hapo hakuna diet zaidi ya kutafuta kitambi ila wahusika watakuja kukujibu.
 
Hiyo ni imani tu kuwa ugali unakufanya uwe ngangari. Mayai yanakufanya uwa nyoro.
Mayai yana proteins, ndizo zinazotengeneza misuli. Ugali hautengenezi misuli, ni sawa na maji ya sukari tu.
 
臼壘㏘쇼유壘튠嚚又囟쇼自
 
ukienda mwanza kwa wasukuma wanatumia chips mayai kama mboga ya kulia ugali. yaani anakula ugali kwa kutumia chips mayai kama mboga. wakati watu wa dar es salaam wanatumia chips kama chakula kamili sisi sijui ndio ku make diet yaani watu wanashindia mboga kama chakula. ndo maana jamaa wa mwanza wako fit kuliko wabongo.mwenye kujua zaidi atujuze


Nini tafsiri yako hapa kuhusu neno 'chakula' ikiwa vyote tunavi consume?
 
Siwezi kulaga hayo mamboga yao.
 
Watu wanapenda kujidanganya ukila ugali unakuwa na nguvu. Binafsi muda mwingine huwa nakula matunda na mboga za majani hasa spinach takribani wiki moja na mwili unakuwa na afya na nguvu kuliko nikila vyakula vingine...
 
Ukienda Mwanza kwa wasukuma wanatumia chips mayai kama mboga ya kulia ugali. Yaani anakula ugali kwa kutumia chips mayai kama mboga. Wakati watu wa Dar es Salaam wanatumia chips kama chakula kamili sisi sijui ndio ku make diet yaani watu wanashindia mboga kama chakula. Ndio maana jamaa wa Mwanza wako fit kuliko wabongo. Mwenye kujua zaidi atujuze.

We ulijuaje kama wako fit ??? Mbona kauli yako tata !!!!
 
Back
Top Bottom