Cornestone
Member
- Jun 26, 2025
- 20
- 5
Mwaka 2021 wakati Rais Samia anaingia madarakani, Uzalishaji wa korosho ulifikia Tani 216,907 zilizoiingizia Tanzania $181M sawa na TZS452.5bn.
Mwaka 2024/25 Tani 528,260 zilizalishwa na thamani yake ni $600M sawa na TZS 1.6Trilioni.
Chini ya Rais Samia Mapato haya ya Korosho yameongezeka mara nne (4) zaidi.
WAKULIMA OKTOBA TUNATIK✅
Mwaka 2024/25 Tani 528,260 zilizalishwa na thamani yake ni $600M sawa na TZS 1.6Trilioni.
Chini ya Rais Samia Mapato haya ya Korosho yameongezeka mara nne (4) zaidi.
WAKULIMA OKTOBA TUNATIK✅