Chini ya CCM hii, Tanzania itaendelea kudumaa

Chini ya CCM hii, Tanzania itaendelea kudumaa

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
992
Reaction score
2,285
Sio kwamba CCM ni chama kibaya, wala kwamba sera zake ni mbaya au kwamba watu wake ni wabaya au kwamba wanachama na viongozi wake hawana uwezo; hayo yote ni HAPANA.

Ndani ya CCM kuna watu makini, wazalendo na wenye tamaa ya maendeleo lakini wote hao wamemezwa na mfumo kwasababu nao ni binadamu

CCM ya sasa imeunganishwa na dola/serikali ambayo kimtazamo watu walioko "dolani/serikalini" hawana muda na maendeleo ya nchi wala ya watu bali maendeleo yao binafsi. Kila mmoja anashindana na mwenzake kujiimarisha kiuchumi yeye na familia yake hakuna anayejali kuhusu nchi wala watu wa nchi

CCM kama chama tawala kilitakiwa kiwe na watu wenye jicho la kuyaona haya na kuyakemea lakini isivyobahati wanayaona na kuyasifia na wale wachache wanayafumbia macho. Hii ni mbaya sana na wanafanya hivyo kwasababu nao wanatamani na wanatarajia siku moja wawe sehemu ya serikali

Hakuna kiongozi wa chama mwenye uwezo wa kumkosoa kiongozi wa serikali, hakuna mwanachama mwenye uwezo wa kumuhoji kiongozi wa serikali. Hii imepelekea viongozi wa serikali kuwa huru kufanya wanavyotaka wao

Tegemeo pekee la kuikomboa nchi hii limebaki kwa wananchi wenyewe ambao nao ni kama wameshakata tamaa

Wamekubali yaishe! Watoto wanasoma shule zisizo na miundombinu mizuri lakini wameridhika, watoto wanafaulu kwa kishindo pasipokuwa na maarifa kichwani wao wanashangilia (siku hizi ni kawaida sana kuwasikia wazazi wanashangaa alama walizopata watoto wao kwenye mitihani ya mwisho)

Wagonjwa wanatibiwa kwa manyanyaso na kulazimishwa kutoa hongo lakini hakuna anayejali, ofisi za serikali kama ardhi, TRA, manispaa nk wafanyakazi wanaviburi kuanzia kwa mlinzi/sekretary hadi kwa boss lakini hakuna anayejali

Haya yote yanahitaji check and balance ili yaende na chama kama mwajiri mkuu wa walioko serikalini kilitakiwa kifanye kazi hiyo lakini kimeshindwa.

Nini kifanyike?

Kukitoa madarakani imeshindikana na haionekani ikiwezekana, kuwabadilisha watu "mind set" ili waanze kufikiri na kutenda kwa namna ya kuwawajibisha wasiofaa bila kujali itikadi zao nayo inaelekea kufeli kwasababu siku hizi hata mtumishi wa umma akiwa na mawazo kinzani dhidi ya kiongozi wake wa kazi au kuhoji mambo ya msingi anaonekana mpinzani na inawezekana kabisa asiungwe mkono na wafanyakazi wenzake. Hii hutoa nafasi kwa Boss kumshughulikia atakavyo ili kudhibiti wengine.

Je, tuendelee kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu?
 
ILipaswa yatokee haya na zaidi ili hitimisho lifike!

Mtu sahihi kwa wakati sahihi alikuwa JPM, japo alikuwa na madhaifu (Kuua na kuteka)..lakini kuna direction flani ilionekana hiyo haina mjadala!

By 2030 tutajionea mengi!
 
Sio kwamba CCM ni chama kibaya, wala kwamba sera zake ni mbaya au kwamba watu wake ni wabaya au kwamba wanachama na viongozi wake hawana uwezo; hayo yote ni HAPANA.

Ndani ya CCM kuna watu makini, wazalendo na wenye tamaa ya maendeleo lakini wote hao wamemezwa na mfumo kwasababu nao ni binadamu

CCM ya sasa imeunganishwa na dola/serikali ambayo kimtazamo watu walioko "dolani/serikalini" hawana muda na maendeleo ya nchi wala ya watu bali maendeleo yao binafsi. Kila mmoja anashindana na mwenzake kujiimarisha kiuchumi yeye na familia yake hakuna anayejali kuhusu nchi wala watu wa nchi

CCM kama chama tawala kilitakiwa kiwe na watu wenye jicho la kuyaona haya na kuyakemea lakini isivyobahati wanayaona na kuyasifia na wale wachache wanayafumbia macho. Hii ni mbaya sana na wanafanya hivyo kwasababu nao wanatamani na wanatarajia siku moja wawe sehemu ya serikali

Hakuna kiongozi wa chama mwenye uwezo wa kumkosoa kiongozi wa serikali, hakuna mwanachama mwenye uwezo wa kumuhoji kiongozi wa serikali. Hii imepelekea viongozi wa serikali kuwa huru kufanya wanavyotaka wao

Tegemeo pekee la kuikomboa nchi hii limebaki kwa wananchi wenyewe ambao nao ni kama wameshakata tamaa

Wamekubali yaishe! Watoto wanasoma shule zisizo na miundombinu mizuri lakini wameridhika, watoto wanafaulu kwa kishindo pasipokuwa na maarifa kichwani wao wanashangilia (siku hizi ni kawaida sana kuwasikia wazazi wanashangaa alama walizopata watoto wao kwenye mitihani ya mwisho)

Wagonjwa wanatibiwa kwa manyanyaso na kulazimishwa kutoa hongo lakini hakuna anayejali, ofisi za serikali kama ardhi, TRA, manispaa nk wafanyakazi wanaviburi kuanzia kwa mlinzi/sekretary hadi kwa boss lakini hakuna anayejali

Haya yote yanahitaji check and balance ili yaende na chama kama mwajiri mkuu wa walioko serikalini kilitakiwa kifanye kazi hiyo lakini kimeshindwa.

Nini kifanyike?

Kukitoa madarakani imeshindikana na haionekani ikiwezekana, kuwabadilisha watu "mind set" ili waanze kufikiri na kutenda kwa namna ya kuwawajibisha wasiofaa bila kujali itikadi zao nayo inaelekea kufeli kwasababu siku hizi hata mtumishi wa umma akiwa na mawazo kinzani dhidi ya kiongozi wake wa kazi au kuhoji mambo ya msingi anaonekana mpinzani na inawezekana kabisa asiungwe mkono na wafanyakazi wenzake. Hii hutoa nafasi kwa Boss kumshughulikia atakavyo ili kudhibiti wengine.

Je, tuendelee kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu?
Gentleman,
nonsense articles kama hizi, kamwe haziwezi kuzuia CCM imara kuitawala Tanzania na kuwaletea wananchi maendeleo kwa miaka mingi sana ijayo:NoGodNo:
 
Sio kwamba CCM ni chama kibaya, wala kwamba sera zake ni mbaya au kwamba watu wake ni wabaya au kwamba wanachama na viongozi wake hawana uwezo; hayo yote ni HAPANA.

Ndani ya CCM kuna watu makini, wazalendo na wenye tamaa ya maendeleo lakini wote hao wamemezwa na mfumo kwasababu nao ni binadamu

CCM ya sasa imeunganishwa na dola/serikali ambayo kimtazamo watu walioko "dolani/serikalini" hawana muda na maendeleo ya nchi wala ya watu bali maendeleo yao binafsi. Kila mmoja anashindana na mwenzake kujiimarisha kiuchumi yeye na familia yake hakuna anayejali kuhusu nchi wala watu wa nchi

CCM kama chama tawala kilitakiwa kiwe na watu wenye jicho la kuyaona haya na kuyakemea lakini isivyobahati wanayaona na kuyasifia na wale wachache wanayafumbia macho. Hii ni mbaya sana na wanafanya hivyo kwasababu nao wanatamani na wanatarajia siku moja wawe sehemu ya serikali

Hakuna kiongozi wa chama mwenye uwezo wa kumkosoa kiongozi wa serikali, hakuna mwanachama mwenye uwezo wa kumuhoji kiongozi wa serikali. Hii imepelekea viongozi wa serikali kuwa huru kufanya wanavyotaka wao

Tegemeo pekee la kuikomboa nchi hii limebaki kwa wananchi wenyewe ambao nao ni kama wameshakata tamaa

Wamekubali yaishe! Watoto wanasoma shule zisizo na miundombinu mizuri lakini wameridhika, watoto wanafaulu kwa kishindo pasipokuwa na maarifa kichwani wao wanashangilia (siku hizi ni kawaida sana kuwasikia wazazi wanashangaa alama walizopata watoto wao kwenye mitihani ya mwisho)

Wagonjwa wanatibiwa kwa manyanyaso na kulazimishwa kutoa hongo lakini hakuna anayejali, ofisi za serikali kama ardhi, TRA, manispaa nk wafanyakazi wanaviburi kuanzia kwa mlinzi/sekretary hadi kwa boss lakini hakuna anayejali

Haya yote yanahitaji check and balance ili yaende na chama kama mwajiri mkuu wa walioko serikalini kilitakiwa kifanye kazi hiyo lakini kimeshindwa.

Nini kifanyike?

Kukitoa madarakani imeshindikana na haionekani ikiwezekana, kuwabadilisha watu "mind set" ili waanze kufikiri na kutenda kwa namna ya kuwawajibisha wasiofaa bila kujali itikadi zao nayo inaelekea kufeli kwasababu siku hizi hata mtumishi wa umma akiwa na mawazo kinzani dhidi ya kiongozi wake wa kazi au kuhoji mambo ya msingi anaonekana mpinzani na inawezekana kabisa asiungwe mkono na wafanyakazi wenzake. Hii hutoa nafasi kwa Boss kumshughulikia atakavyo ili kudhibiti wengine.

Je, tuendelee kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu?

NI KUCHUKUWA CHAKO MAPEMA TU , Kula kwa urefu wa kamba yako , mpaka majani yaishe , mwisho Tufe sote
 
Sio kwamba CCM ni chama kibaya, wala kwamba sera zake ni mbaya au kwamba watu wake ni wabaya au kwamba wanachama na viongozi wake hawana uwezo; hayo yote ni HAPANA.
Asante kwa hii
Ndani ya CCM kuna watu makini, wazalendo na wenye tamaa ya maendeleo lakini wote hao wamemezwa na mfumo kwasababu nao ni binadamu
true,
CCM ya sasa imeunganishwa na dola/serikali
Ni kweli CCM sio tu ni chama tawala, ni chama Dola!
Je, tuendelee kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu?
Kwa vile CCM ilipewa na Mungu, kuitawala Tanzania milele na milele Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Unless kama Mungu akiamua vinginevyo, ndiye anaweza ibadilisha.
P
 
Sio kwamba CCM ni chama kibaya, wala kwamba sera zake ni mbaya au kwamba watu wake ni wabaya au kwamba wanachama na viongozi wake hawana uwezo; hayo yote ni HAPANA.

Ndani ya CCM kuna watu makini, wazalendo na wenye tamaa ya maendeleo lakini wote hao wamemezwa na mfumo kwasababu nao ni binadamu

CCM ya sasa imeunganishwa na dola/serikali ambayo kimtazamo watu walioko "dolani/serikalini" hawana muda na maendeleo ya nchi wala ya watu bali maendeleo yao binafsi. Kila mmoja anashindana na mwenzake kujiimarisha kiuchumi yeye na familia yake hakuna anayejali kuhusu nchi wala watu wa nchi

CCM kama chama tawala kilitakiwa kiwe na watu wenye jicho la kuyaona haya na kuyakemea lakini isivyobahati wanayaona na kuyasifia na wale wachache wanayafumbia macho. Hii ni mbaya sana na wanafanya hivyo kwasababu nao wanatamani na wanatarajia siku moja wawe sehemu ya serikali

Hakuna kiongozi wa chama mwenye uwezo wa kumkosoa kiongozi wa serikali, hakuna mwanachama mwenye uwezo wa kumuhoji kiongozi wa serikali. Hii imepelekea viongozi wa serikali kuwa huru kufanya wanavyotaka wao

Tegemeo pekee la kuikomboa nchi hii limebaki kwa wananchi wenyewe ambao nao ni kama wameshakata tamaa

Wamekubali yaishe! Watoto wanasoma shule zisizo na miundombinu mizuri lakini wameridhika, watoto wanafaulu kwa kishindo pasipokuwa na maarifa kichwani wao wanashangilia (siku hizi ni kawaida sana kuwasikia wazazi wanashangaa alama walizopata watoto wao kwenye mitihani ya mwisho)

Wagonjwa wanatibiwa kwa manyanyaso na kulazimishwa kutoa hongo lakini hakuna anayejali, ofisi za serikali kama ardhi, TRA, manispaa nk wafanyakazi wanaviburi kuanzia kwa mlinzi/sekretary hadi kwa boss lakini hakuna anayejali

Haya yote yanahitaji check and balance ili yaende na chama kama mwajiri mkuu wa walioko serikalini kilitakiwa kifanye kazi hiyo lakini kimeshindwa.

Nini kifanyike?

Kukitoa madarakani imeshindikana na haionekani ikiwezekana, kuwabadilisha watu "mind set" ili waanze kufikiri na kutenda kwa namna ya kuwawajibisha wasiofaa bila kujali itikadi zao nayo inaelekea kufeli kwasababu siku hizi hata mtumishi wa umma akiwa na mawazo kinzani dhidi ya kiongozi wake wa kazi au kuhoji mambo ya msingi anaonekana mpinzani na inawezekana kabisa asiungwe mkono na wafanyakazi wenzake. Hii hutoa nafasi kwa Boss kumshughulikia atakavyo ili kudhibiti wengine.

Je, tuendelee kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu?
Kama wapo watu wazuri ila wanamezea na mfumo wajitoe humo kiifikra ila wasalie nao kimwili kwa uwingi wao hapo ccm itafariki kifo cha asili cha halali na kisicho na mateso.Na taifa litapona kwenye huu ugonjwa wa kusingiziwa na ccm.
 
Kwahiyo Tanzania itaendelea ikiwa chini ya hii CHADEMA inayotafuna michango ya mwenyekiti wao Lissu aliye mahabusu?
 
Asante kwa cii

true,

Ni kweli CCM sio tu ni chama tawala, ni chama Dola!

Kwa vile CCM ilipewa na Mungu, kuitawala Tanzania milele na milele Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Unless kama Mungu akiamua vinginevyo, ndiye anaweza ibadilisha.
P

MITANO TENA


1770552860257.png


1770553048972.png
 
Sio kwamba CCM ni chama kibaya, wala kwamba sera zake ni mbaya au kwamba watu wake ni wabaya au kwamba wanachama na viongozi wake hawana uwezo; hayo yote ni HAPANA.

Ndani ya CCM kuna watu makini, wazalendo na wenye tamaa ya maendeleo lakini wote hao wamemezwa na mfumo kwasababu nao ni binadamu

CCM ya sasa imeunganishwa na dola/serikali ambayo kimtazamo watu walioko "dolani/serikalini" hawana muda na maendeleo ya nchi wala ya watu bali maendeleo yao binafsi. Kila mmoja anashindana na mwenzake kujiimarisha kiuchumi yeye na familia yake hakuna anayejali kuhusu nchi wala watu wa nchi

CCM kama chama tawala kilitakiwa kiwe na watu wenye jicho la kuyaona haya na kuyakemea lakini isivyobahati wanayaona na kuyasifia na wale wachache wanayafumbia macho. Hii ni mbaya sana na wanafanya hivyo kwasababu nao wanatamani na wanatarajia siku moja wawe sehemu ya serikali

Hakuna kiongozi wa chama mwenye uwezo wa kumkosoa kiongozi wa serikali, hakuna mwanachama mwenye uwezo wa kumuhoji kiongozi wa serikali. Hii imepelekea viongozi wa serikali kuwa huru kufanya wanavyotaka wao

Tegemeo pekee la kuikomboa nchi hii limebaki kwa wananchi wenyewe ambao nao ni kama wameshakata tamaa

Wamekubali yaishe! Watoto wanasoma shule zisizo na miundombinu mizuri lakini wameridhika, watoto wanafaulu kwa kishindo pasipokuwa na maarifa kichwani wao wanashangilia (siku hizi ni kawaida sana kuwasikia wazazi wanashangaa alama walizopata watoto wao kwenye mitihani ya mwisho)

Wagonjwa wanatibiwa kwa manyanyaso na kulazimishwa kutoa hongo lakini hakuna anayejali, ofisi za serikali kama ardhi, TRA, manispaa nk wafanyakazi wanaviburi kuanzia kwa mlinzi/sekretary hadi kwa boss lakini hakuna anayejali

Haya yote yanahitaji check and balance ili yaende na chama kama mwajiri mkuu wa walioko serikalini kilitakiwa kifanye kazi hiyo lakini kimeshindwa.

Nini kifanyike?

Kukitoa madarakani imeshindikana na haionekani ikiwezekana, kuwabadilisha watu "mind set" ili waanze kufikiri na kutenda kwa namna ya kuwawajibisha wasiofaa bila kujali itikadi zao nayo inaelekea kufeli kwasababu siku hizi hata mtumishi wa umma akiwa na mawazo kinzani dhidi ya kiongozi wake wa kazi au kuhoji mambo ya msingi anaonekana mpinzani na inawezekana kabisa asiungwe mkono na wafanyakazi wenzake. Hii hutoa nafasi kwa Boss kumshughulikia atakavyo ili kudhibiti wengine.

Je, tuendelee kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu?
Wewe unakuja na fikra za chama kimoja za chama tawala kuidhibiti Serikali, mambo ya 1970's. Hii kauli imetolewa juzi na Nape. Acheni ujinga nyie watu. Mnajitekenya na kucheka wenyewe.

Acheni mfumo wa vyama vingi, Bunge na Mahakama vifanye kazi zake bila kuingiliwa muone jinsi uwajibikaji utakavyokuwa huko serikalini.
 
Sio kwamba CCM ni chama kibaya, wala kwamba sera zake ni mbaya au kwamba watu wake ni wabaya au kwamba wanachama na viongozi wake hawana uwezo; hayo yote ni HAPANA.

Ndani ya CCM kuna watu makini, wazalendo na wenye tamaa ya maendeleo lakini wote hao wamemezwa na mfumo kwasababu nao ni binadamu

CCM ya sasa imeunganishwa na dola/serikali ambayo kimtazamo watu walioko "dolani/serikalini" hawana muda na maendeleo ya nchi wala ya watu bali maendeleo yao binafsi. Kila mmoja anashindana na mwenzake kujiimarisha kiuchumi yeye na familia yake hakuna anayejali kuhusu nchi wala watu wa nchi

CCM kama chama tawala kilitakiwa kiwe na watu wenye jicho la kuyaona haya na kuyakemea lakini isivyobahati wanayaona na kuyasifia na wale wachache wanayafumbia macho. Hii ni mbaya sana na wanafanya hivyo kwasababu nao wanatamani na wanatarajia siku moja wawe sehemu ya serikali

Hakuna kiongozi wa chama mwenye uwezo wa kumkosoa kiongozi wa serikali, hakuna mwanachama mwenye uwezo wa kumuhoji kiongozi wa serikali. Hii imepelekea viongozi wa serikali kuwa huru kufanya wanavyotaka wao

Tegemeo pekee la kuikomboa nchi hii limebaki kwa wananchi wenyewe ambao nao ni kama wameshakata tamaa

Wamekubali yaishe! Watoto wanasoma shule zisizo na miundombinu mizuri lakini wameridhika, watoto wanafaulu kwa kishindo pasipokuwa na maarifa kichwani wao wanashangilia (siku hizi ni kawaida sana kuwasikia wazazi wanashangaa alama walizopata watoto wao kwenye mitihani ya mwisho)

Wagonjwa wanatibiwa kwa manyanyaso na kulazimishwa kutoa hongo lakini hakuna anayejali, ofisi za serikali kama ardhi, TRA, manispaa nk wafanyakazi wanaviburi kuanzia kwa mlinzi/sekretary hadi kwa boss lakini hakuna anayejali

Haya yote yanahitaji check and balance ili yaende na chama kama mwajiri mkuu wa walioko serikalini kilitakiwa kifanye kazi hiyo lakini kimeshindwa.

Nini kifanyike?

Kukitoa madarakani imeshindikana na haionekani ikiwezekana, kuwabadilisha watu "mind set" ili waanze kufikiri na kutenda kwa namna ya kuwawajibisha wasiofaa bila kujali itikadi zao nayo inaelekea kufeli kwasababu siku hizi hata mtumishi wa umma akiwa na mawazo kinzani dhidi ya kiongozi wake wa kazi au kuhoji mambo ya msingi anaonekana mpinzani na inawezekana kabisa asiungwe mkono na wafanyakazi wenzake. Hii hutoa nafasi kwa Boss kumshughulikia atakavyo ili kudhibiti wengine.

Je, tuendelee kusubiri kudra za Mwenyezi Mungu?
Mzee Mayala ndani ya ccm ,mnafiki sana
 
Back
Top Bottom